Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Catholic ingekuwa yale madhehebu ambayo Yako decentralized ambapo kila usharika na katiba yake!!

Leo Marais wa TEC wangekuwa wanasimikwa na TEETH kwa maslahi ya sirikali,bndo maana walimuogopa BAGONZA.

Catholic church ni CENTRALIZED, katika yote , ni Moja, Kanisa katolki la mitume.
Likisema ulimwengu wote unafuata, ni zaidi ya Serikali.

"Roma Locuta Causa Finita "
"Roma ikinena, shauri limekwisha "😅😅😅😂😂😃 kanisa Katoliki Raha sana..... I'm proud to be catholic, I'll die as catholic.
Kanisa moja katoliki la mitume , tumsifu Yesu kristu paroko ndagala
 
Huyu jamaa ndie the most impactiful minister kwenye cabinet ya Samia, ndiye the brain behind Dira ya Taifa 2550!.
This is a very big thing!.
P
Haya kweli ni maajabu.

Jimbo analoliongoza tu halina maji ya uhakika na mabandiko lukuki yamo humu kuhusu jimbo lake.

Hiyo dira ya taifa ni dead on arrival maana itakuwa ni makaratasi mengi na yenye maelezo mengi ya kuvutia ila hayatekelezeki.

Ni 2024 hadi hii 2025 hakuna maji ya uhakika jimboni kwake .

 
Ndugu tumia elimu yako vizuri na siyo kuwahadaa watu ama kama hujui ama huna uhakika usiwe unaandika.
Kiukweli mimi najihesabu ninaitumia elimu yangu vizuri, kuna baadhi ya mambo ninayoandika humu, wahusika wanayapima if it makes sense wanachukua hatua, mfano mzuri ni kile kilichofanyika kwenye mkutano mkuu wa CCM, nikaandika mapungufu ya kisheria, nikashauri the best way foward, CCM wamesoma, sasa watafanya mkutano mkuu mwingine mwezi May na kurekebisha makosa. Hivyo nasaidia sana, JPM nimemsaidia sana, na sasa Rais Samia, namsaidia sana, na kulisaidia taifa na wananchi.
FIU sio TISS
You are wrong!, kitengo chochote kinachofanya issues zozote za kiinteligensia kikiwa idara yoyote, ni tiss, hata MI ya jeshi ni tiss!.
ila kunaweza kuwa na baadhi yao waliopenyezwa kwa ajili ya mission walizotumwa,
Sio kunaweza, ni wapo na hiyo ndio shughuli yao hapo FIU
wapo watumishi wengi tu wa FIU ambao wameajiriwa na Sekretarieti ya Ajira.
Duh...!, kwani ndio nini?, wewe hujui hiyo secretariat ni ma tiss?, ma tiss kibao wanaajiriwa popote hata kwa baresa!.
Hii ni sawa na useme watumishi wote waliopo Ikulu ni TISS wakati hata wa kawaida wanaoajiriwa au kuhamishiwa kutoka Taasisi nyingine za Kiserikali wapo pia.
Ukiisha ingia ikulu, hata kama ni mzibua vyoo, ni Tiss!.
Ulipozidisha chai ni hapo uliposema eti Branch Managers wa Mabenki wote ni TISS, My wife ni one of BM kwenye hizi two giants Banks na siyo mtu wa TISS na wala hawajui.
Pole sana!, wewe ndio hujui, siku ukijua, utanishukuru!. Kama unajidhania, unamjua saana mkoe, think twice, kuna mtu hadi anaolewa na its assignment!.
Watu wengi sana wanaishi kwa dhana za kuandika wanayoyawaza kwamba ni kweli na kuyaandika kumbe siyo kweli na yanatokana na hisia potofu tu.
Sawa, nakubaliana na wewe!.
Watu wanadangwanya sana hapa JF na wanakubali tu. Kukaa na watu hao na kufahamiana nao haikupi audacity ya kuifahamu kiundani hiyo Taasisi na kuja kuongopa huku.
Duh....!.
Mkuu, Naomba kujua Kuna wabunge na madiwan nawafahamu walipitia usalama wa taifa kabla hawajawa viongozi wa majimbo hii leo, Ile kazi yao wanaiacha kabsa au wanaendelea kuwa na ubunge pamoja usalama
Kama ni ma ofisa, hawaachi mpaka 6x6!, japo wakifika umri wa kustaafu, wanahamishiwa eneo la their place of domicile.

Wanastaafu ila wanaendelea na kazi na kuhudumiwa mpaka siku ya siku!.

Kama ni informers, wakimaliza assignment, inakuwa imeisha!
P
 
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Kama unamaanisha professional intelligence officers, kama wale wa, mossad, shinbet, mukabarat, FBI, au, CIA, sio kweli, hapa kwetu, kilaza yoyote anaweza kuwekwa Idara ya usalama, uwe chawa tu wawatawala! Uvccm wote wanaweza kufoji vitambulisho vya TISS,kufanya kazi, ya, umeme, hakukufanyi uwe engineer wa, umeme, engineer lazima aende shule, awe trained, upitie, jets, magereza, uhamiaji, tanapa, haikufanyi uwe intelligence operator, intelijensia, ni, kutumia akili sio maguvu,wapo operators, wasio, na military background lakini, ni balaa kwenye intelijensia,
Kwa ufupi, wale makomandoo wa US, Seal team, sio intelijensia operators,
 
Kiukweli mimi najihesabu ninaitumia elimu yangu vizuri, kuna baadhi ya mambo ninayoandika humu, wahusika wanayapima if it makes sense wanachukua hatua, mfano mzuri ni kile kilichofanyika kwenye mkutano mkuu wa CCM, nikaandika mapungufu ya kisheria, nikashauri the best way foward, CCM wamesoma, sasa watafanya mkutano mkuu mwingine mwezi May na kurekebisha makosa. Hivyo nasaidia sana, JPM nimemsaidia sana, na sasa Rais Samia, namsaidia sana, na kulisaidia taifa na wananchi.

You are wrong!, kitengo chochote kinachofanya issues zozote za kiinteligensia kikiwa idara yoyote, ni tiss, hata MI ya jeshi ni tiss!.

Sio kunaweza, ni wapo na hiyo ndio shughuli yaopaz



Kama ni ma ofisa, hawaachi mpaka 6x6!, japo wakifika umri wa kustaafu, wanahamishiwa eneo la their place of domicile.

Wanastaafu ila wanaendelea na kazi na kuhudumiwa mpaka siku ya siku!.

Kama ni informers, wakimaliza assignment, inakuwa imeisha!
P
Sawa unasaidia CCM na Viongozi ila baadhi ya mambo unayoyaongea siyo ya kweli ila kwa kuwa umeshajiaminisha ngoja nikuache hivyo hivyo. Ila pia ninakufahamu personally na tuliwahi kukutana kwenye shughuli za maonesho hapo Dar miaka ya 2008 hadi 2012 hivi na shughuli nyingine mbalimbali hata Regent Estate kwenye ile bar tumeshakutana mara kadhaa.
 
Huyo mufti kawekwa tu binafs huyo zuber namjuwa miaka nenda rudi sifa yake kubwa alikuwa anauguza watu tu,hilo pande kama alipewa tu la umufti

Ova
Hakuna pande la umufti la kupewa hapo bakwata, bakwata sharti iwe chini ya mikono ya watu tunaowaamini,maana ikiwaongoza waislam vizuri, itakua tabu kutawala
 
Wakati wa mwalimu kumjua mtu wa usalama wa taifa sio rahisi, siku hizi kila mtu ni usalama wa taifa.
Ni kweli kabisa, mimi baba na mama walikuwa huko, kujua baba ni nani, nimejua nikiwa darasa la 5 tena kwa kusoma gazeti la Mzalendo ile kesi ya mauaji Mwanza!. Mama nimekuja kujua nikiwa form 5 Ilboru, sio kupitia kwake, bali kuonyeshwa jengo lao Arusha, na hapo ndio kazini kwa mama!.

Mpaka wametangulia, never shared a thing!. Siku hizi, unawapiga bia 2 pale Chagga Bite, wanakueleza kila kitu!. Hopeless kabisa!, wengi wao ni majinga ajabu!, ndio maana we are so poor kwenye inteligence issues sababu ya kuajiri vilaza!.

Walinitibuaga sana, nikawapaka vilivyo, TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Hata yule Mzee wa Chadema, ni hawa majinga!, Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!, Maza akaitisha uchunguzi wa haraka, wakampelekea taarifa ya uongo!, Maza akawaamini akanyamaza!. Nikamshauri kitu Maza kuwa mwisho wa siku atakayefidia madudu ya watu wake ni yeye! Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe
P
 
Sawa unasaidia CCM na Viongozi
Sio CCM tuu, na wala sio viongozi tuu, naisaidia nchi, na usikute nawasaidia Wapinzani kuliko hata CCM!.
ila baadhi ya mambo unayoyaongea siyo ya kweli ila kwa kuwa umeshajiaminisha ngoja nikuache hivyo hivyo.
No one is perfect!
Ila pia ninakufahamu personally na tuliwahi kukutana kwenye shughuli za maonesho hapo Dar miaka ya 2008 hadi 2012 hivi na shughuli nyingine mbalimbali hata Regent Estate kwenye ile bar tumeshakutana mara kadhaa.
Asante, mimi niko real, pale Chato ni chimbo langu kwasababu kiukweli napenda kula vitu vizuri, ile kitu ya wale jamaa, iko vizuri, ila mimi sio tuu napenda kula kula, pia napenda kula vyote!. Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
P
 
Ni kweli kabisa, mimi baba na mama walikuwa huko, kujua baba ni nani, nimejua nikiwa darasa la 5 tena kwa kusoma gazeti la Mzalendo ile kesi ya mauaji Mwanza!. Mama nimekuja kujua nikiwa form 5 Ilboru, sio kupitia kwake, bali kuonyeshwa jengo lao Arusha, na hapo ndio kazini kwa mama!.

Mpaka wametangulia, never shared a thing!. Siku hizi, unawapiga bia 2 pale Chagga Bite, wanakueleza kila kitu!. Hopeless kabisa!, wengi wao ni majinga ajabu!, ndio maana we are so poor kwenye inteligence issues sababu ya kuajiri vilaza!.

Walinitibuaga sana, nikawapaka vilivyo, TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Hata yule Mzee wa Chadema, ni hawa majinga!, Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!, Maza akaitisha uchunguzi wa haraka, wakampelekea taarifa ya uongo!, Maza akawaamini akanyamaza!. Nikamshauri kitu Maza kuwa mwisho wa siku atakayefidia madudu ya watu wake ni yeye! Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe
P
Hakika !
 
Back
Top Bottom