gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Mpendwa wako mbowe piaKatika hiyo list kama Zitto hayumo utakuwa una tongo tongo la utambuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpendwa wako mbowe piaKatika hiyo list kama Zitto hayumo utakuwa una tongo tongo la utambuzi.
Mwandishi anademka demka etii!😁😁Ndugu tumia elimu yako vizuri na siyo kuwahadaa watu ama kama hujui ama huna uhakika usiwe unaandika. FIU sio TISS ila kunaweza kuwa na baadhi yao waliopenyezwa kwa ajili ya mission walizotumwa, wapo watumishi wengi tu wa FIU ambao wameajiriwa na Sekretarieti ya Ajira. Hii ni sawa na useme watumishi wote waliopo Ikulu ni TISS wakati hata wa kawaida wanaoajiriwa au kuhamishiwa kutoka Taasisi nyingine za Kiserikali wapo pia.
Ulipozidisha chai ni hapo uliposema eti Branch Managers wa Mabenki wote ni TISS, My wife ni one of BM kwenye hizi two giants Banks na siyo mtu wa TISS na wala hawajui.
Watu wengi sana wanaishi kwa dhana za kuandika wanayoyawaza kwamba ni kweli na kuyaandika kumbe siyo kweli na yanatokana na hisia potofu tu.
Watu wanadangwanya sana hapa JF na wanakubali tu. Kukaa na watu hao na kufahamiana nao haikupi audacity ya kuifahamu kiundani hiyo Taasisi na kuja kuongopa huku.
Mbona siku hizi Vijana wa Bodaboda hawaogopeki au vijana wauza matunda?Zamani tunakuwa wale vichaa wa misimu walikuwa pia wanaitwa TISS
Huyo mufti kawekwa tu binafs huyo zuber namjuwa miaka nenda rudi sifa yake kubwa alikuwa anauguza watu tu,hilo pande kama alipewa tu la umuftiBakwata ni chombo cha serikali,na hujaa mashushu, uchaguzi wa mufti bakwata idara huwa bize kuhakikisha anakaa mtakiwa,hata watu wa vigango huwa bize na uchaguzi wa mufti wa bakwata, infact waliudhamini 1992
Anauguza watu ni dokta au mganga wa kienyeji?Huyo mufti kawekwa tu binafs huyo zuber namjuwa miaka nenda rudi sifa yake kubwa alikuwa anauguza watu tu,hilo pande kama alipewa tu la umufti
Ova
Kitila Mkumbo amekuwa overrated tu sikubaliani nawe, ni more bookish oriented, practical oriented hamna kitu.Huyu jamaa ndie the most impactiful minister kwenye cabinet ya Samia, ndiye the brain behind Dira ya Taifa 2550!.
This is a very big thing!.
P
Huyu jamaa ndie the most impactiful minister kwenye cabinet ya Samia, ndiye the brain behind Dira ya Taifa 2550!.
This is a very big thing!.
P
Mkuu wife wako anaweza bkuwa TISS na usijue 😃😃Ndugu tumia elimu yako vizuri na siyo kuwahadaa watu ama kama hujui ama huna uhakika usiwe unaandika. FIU sio TISS ila kunaweza kuwa na baadhi yao waliopenyezwa kwa ajili ya mission walizotumwa, wapo watumishi wengi tu wa FIU ambao wameajiriwa na Sekretarieti ya Ajira. Hii ni sawa na useme watumishi wote waliopo Ikulu ni TISS wakati hata wa kawaida wanaoajiriwa au kuhamishiwa kutoka Taasisi nyingine za Kiserikali wapo pia.
Ulipozidisha chai ni hapo uliposema eti Branch Managers wa Mabenki wote ni TISS, My wife ni one of BM kwenye hizi two giants Banks na siyo mtu wa TISS na wala hawajui.
Watu wengi sana wanaishi kwa dhana za kuandika wanayoyawaza kwamba ni kweli na kuyaandika kumbe siyo kweli na yanatokana na hisia potofu tu.
Watu wanadangwanya sana hapa JF na wanakubali tu. Kukaa na watu hao na kufahamiana nao haikupi audacity ya kuifahamu kiundani hiyo Taasisi na kuja kuongopa huku.
Wewe unamtisha mwenzio, ataogopa hata kuomba tunda usiku!😄😄Mkuu wife wako anaweza bkuwa TISS na usijue 😃😃
Catholic church, ila madhehebu mengine wanayachezesha SINGELI kama watakavyo.Si dini zote, kuna dhehebu moja ambalo wameshindwa kuli penetrate wanavyotaka sababu control haipohapa iko kutoka nje
Duu inawezekana!!😂😂Wewe unamtisha mwenzio, ataogopa hata kuomba tunda usiku!😄😄
Chanzo Cha habari zako!Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Mkuu Mundu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
I can just imagine, kama sisi tuliajaliwa jicho la tatu, ma Tiss tunawajua kwa kuwaona tuu sura, je tungewataja ma Tiss wote tunaowajua, tungebaki salama?
Huwezi kutoboa boti mnayasafiria. Ikizama mnakufa wote!, au kulikata tawi la mti uliolalia!.
Kwa taarifa yako ma TISS ni wengi kuliko unavyodhania hata Sultani naye ni Tiss, hata Mkuu nanilii pia ni Tiss
Ila sio kila Tiss ni Tiss
Kuna ma Tiss wa aina kuu 3.
NB. Mimi nina damu ya TISS kwenye veins zangu kwa wazazi wangu wote wawili, na tumezaliwa 8, haiwezekani sisi wote nane tukawamo!. Kunidhania mimi ni mmoja wao rukhsa na angalia hapa ninavyoisifia ofisi yangu TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
- Staff hawa ni waajiriwa rasmi wa tiss, wamepitia deppo Mbweni, na ni wafanyakazi wa Tiss, ni watumishi rasmi wa tiss na wameajiriwa kama wanausalama, hawa wote lazima wapite deppo na wana mishahara ya tiss, kama ilivyo kila polisi lazima apite CCP, kila jeshi lazima afanye deppo. Hawa staff rasmi wa tiss wako wa aina mbili, kuna open staff, hawa wale ma TISS wanajulikana rasmi ni ma tiss na ofisi yao ni TISS, kama DGIS na maofisa wote wa TISS wanaojulikana kama RSO, ma DSO etc, wana makundi matatu, Tiss main kulinda usalama wa nchi, GSU kulinda usalama wa serikali, na kitengo cha ulinzi wa viongozi, hawa kuwataja hakuna tatizo.
- Kuna ma TISS ambao ni ma tiss lakini wanafanya kazi under cover, SS, secret service, hawa wanapostiwa sehemu mbalimbali na kuajiriwa kama watu wa kawaida, (watu wa kazi mbilimbili) hawatakiwi kujulikana kuwa ni ma tiss, wako kila mahali, kila wizara, kila idara, kila taasisi, kila wakala, kila kitengo, na wanapenyezwa kila mahali hadi private sectors, wanakuwa planted, ikitokea ukawajua, huruhusiwi kuwataja!
- Viongozi wote, wateuliwa wote na watendaji wote, ambao wamepata uteuzi kupitia kufanyiwa, na tiss, hawa ni ma Tiss kwa mujibu wa positions zao, wana wajibu wa kufanya reporting kwa ofisa wa tiss by virtue za ajira zao.
- Wafanyakazi wote wa vitengo vya nusa nusa, ma ps, mesenja, posta kila barua suspicious zinafunguliwa kusomwa, zikikutwa na kitu zinakuwa scanned, inafungwa inakwenda kwa mhusika, hao ni ma tiss, wako makampuni yote ya simu, wana tap mawasiliano suspicious, wakiwemo mabenki yote yana mtu wa kitengo cha FIU hawa ni ma TISS, by virtue of reporting, mtoa taarifa wa FIU ni tiss, taarifa yake lazima ipite kwa bank manager hivyo mameneja wote wa banks na big financial institutions zote ni ma Tiss kumonitor miamala suspicious, au money laundering.
- Kundi la mwisho la ma tiss, na hili ndio kundi kubwa, ni la tiss ambao ni ma Informers, hawa ni watu wa kawaida kabisa, hawakupitia mafunzo yoyote, sio wa ajiriwa wa tiss, wanakuwa recruited kuripoti Tiss na kulipwa posho tuu, huku wakiendelea na shughuli zao za kawaida, tiss ina recruit informers kwenye eneo lolote lenye vested interest kuanzia ma shoe shiners, wadada poa, kutengenezea honey traps, wahudumu wa bar, mahoteli, walinzi, wasichana wa kazi, madereva taxi, bajaji, boda boda, saloon, mtu yoyote anaweza kuwa recruited, na kuwa planted kwenye area of interest, hivyo no one knows who is who.
Hapa namtishia bosi wangu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe
Na kunapotokea matishio ya kiusalama, badala ya kuripoti ofisini, mimi tiss mimi, naripoti humu jf Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?
Boss wa TISS ni CinC, mwenyewe amepania ile mbaya 2025-2030, mtumishi wa idara anaweza kweli kuandika hivi ?. Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!
Boss wako anajipanga kwa mserereko wa 2025, kijana wake anaweza kupandisha kitu kama HII?.
Acheni hizo!, ila ma tiss wenyewe humu wapo na wengine tunawajua!.
P.
Misingi yao inakuwa si imara au origin hazieleweki. But yes catholic is differentCatholic church, ila madhehebu mengine wanayachezesha SINGELI kama watakavyo.
Ambao hawajajiingiza kwenye wizi na syndicates za ufisadi ya wachache waliopo kwenye vyombo vya maamuzi na utendaji, hali zao ni ngumu sana, mishahara midogo kazi nyingi na ngumu.....Mungu mwenyewe asaidie kuleta watu ambao watajitoa kwa moyo wa dhati kabisa kwanza kuweka maslahi ya hawa watu vizuri na Kisha kuhakikisha adhabu Kali zinatolewa pale wanapovunja miiko waliyopewaK
Kwani ni tofauti na maisha kama yale tuliokuwa tunayasoma kwenye Novel’s zilizokuwa zikiwahusu CIA na KGB za Enzi zile za Vita baridi ??!
Watu walikuwa wanakula raha kweli kweli na wakati wa kazi wanahenya na kazi kweli kweli 😅!
Catholic ingekuwa yale madhehebu ambayo Yako decentralized ambapo kila usharika na katiba yake!!Misingi yao inakuwa si imara au origin hazieleweki. But yes catholic is different
I used to like him not any more baada ya kuinteract naye sehemu sehemu, nimegundua no, he isn't what he claims to be or try to portray!Kitila Mkumbo amekuwa overrated tu sikubaliani nawe, ni more bookish oriented, practical oriented hamna kitu.
Kuna watu wako very smart hawajapata tu nafasi, mfano CECIL Mwambe,hii ni hazina,but naona ni amekuwa meager utilized kwa miaka 10 yake ya kuwa bungeni.
Hajapewa fursa ya kulitumikia taifa kwa level ya uwaziri, Mwambe smart sana.
Mkumbo ana accademic arrogance kukosolewa hataki,nishawahi kuwa naye kwenye group songezi, anajiona ni mtu mwenyewe absolutely say kwenye mijadala, kukosolewa hataki.