Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 kuna wenye kauli za hovyo sanaaisee aisee kuna huyu mama nlikua nanunua mihogo kwake, nikaja kuacha kidogo, siku moja nikakutana nae akaniambia 'unadhani bila hela yako nashindwa kuishi??' nilikwazika sana 😂
Nawasilisha.....
kabisa maana wateja wanakera ila unachopaswa kujali ni maslahi ya biashara yako.Biashara inataka uvumilivu na usiwe na hasira za karibu
😀😀😀Ungemwambia mm pia sili mihogoyako michungu🤣🤣aisee aisee kuna huyu mama nlikua nanunua mihogo kwake, nikaja kuacha kidogo, siku moja nikakutana nae akaniambia 'unadhani bila hela yako nashindwa kuishi??' nilikwazika sana 😂
Nawasilisha.....
sema mkuu ukijaribu kujiweka kwenye hali yao, hali ngumu ya maisha inachangia wanakua na ushindani mkubwa.... ndo maana wanang'ang'ania wateja😂 😂 kuna wenye kauli za hovyo sana
limama la mbeya, black limejazia unataka linipasue?? 😂😀😀😀Ungemwambia mm pia sili mihogoyako michungu🤣🤣
huko sokoni ndio kumeoza kabisa wanakunyooshea kidole kabisa. Niliwahi kula kwa mamantilie mmoja baada ya mda nkaacha, siku kaniona akaniambia utahangaika sana kula kwingine mwishowe utiliwe sumu ufe, nikabaki nashangaa maneno yote hayo ya nininiKuna wafanyabiashara hasa wale wamama wa masokoni ..huwa wanajisifia kabisa kumshushua mteja...
Utasikia Leo nimempa makavu ...
Kweli mm nilipata changamoto ya msaidiz wa ovyo yaani wateja nisipokuwepo wakija wanaondoka had niwepo niwahudumie au tukiwa wote wateja wanakuambia hatumtaki huyo km ukobusy nisubir au Nije wakat mwingine lkn nikagundua wengi hawana kauli nzuri Kwa wateja ni changamotokabisa maana wateja wanakera ila unachopaswa kujali ni maslahi ya biashara yako.
kung,ang,ania mteja sio vibaya, njia wanazotumia sio sahihisema mkuu ukijaribu kujiweka kwenye hali yao, hali ngumu ya maisha inachangia wanakua na ushindani mkubwa.... ndo maana wanang'ang'ania wateja
😂😂😂Hausemi mmekaribia unasema huku unaondoka 🤣🤣limama la mbeya, black limejazia unataka linipasue?? 😂
Inasikitisha sanaKuna duka niliwah enda muuzaji kanunaaaa. Sikumfatilia sana nikajua labda kavurugwa tu hiyo siku. Wakati mwingne tena nikaenda kanuna vile vile hee nikabaki najiuliza kwani hapa naomba msaada ama natoa pesa? Nikatoka bila kununua kilichonipeleka.
watu wana stress na wengine ndio vile "maskini akipata matako hulia mbwata" wanamajivuno sanaMie KUNUNA tu yaan unaenda DUKANI unamkuta mtu KANUNA kila ukimuongelesha anakujibu kama vile mna UGOMVI au anakupa msaada yaan MTEJA unaonekana msumbufu
Sasa ulilazimishwa kufungua DUKA si ufunge
Mm huwa nawatukana tu na Bidhaa kuniuzia utaniuzia tu kilazima lbda iwe sehemu amabayo siwezi kuifikia
akinizingua tena ntajaribu afu ntaleta mrejesho 😂😂😂😂Hausemi mmekaribia unasema huku unaondoka 🤣🤣
Halafu utakuta nauza matembele na mchichaKuna wafanyabiashara hasa wale wamama wa masokoni ..huwa wanajisifia kabisa kumshushua mteja...
Utasikia Leo nimempa makavu ...
huyo itakuwa ndivyo alivyo mimi mwenyewe sipendelei kupata huduma mahali ambapo mtu anajinunisha kama ana mimba changaKuna duka niliwah enda muuzaji kanunaaaa. Sikumfatilia sana nikajua labda kavurugwa tu hiyo siku. Wakati mwingne tena nikaenda kanuna vile vile hee nikabaki najiuliza kwani hapa naomba msaada ama natoa pesa? Nikatoka bila kununua kilichonipeleka.
sasa unaeza kuta hicho kitu unatafuta, kinapatikana duka hilo tu hapo mtaani 😂Kuna duka niliwah enda muuzaji kanunaaaa. Sikumfatilia sana nikajua labda kavurugwa tu hiyo siku. Wakati mwingne tena nikaenda kanuna vile vile hee nikabaki najiuliza kwani hapa naomba msaada ama natoa pesa? Nikatoka bila kununua kilichonipeleka.
huko sokoni ndio kumeoza kabisa wanakunyooshea kidole kabisa. Niliwahi kula kwa mamantilie mmoja baada ya mda nkaacha, siku kaniona akaniambia utahangaika sana kula kwingine mwishowe utiliwe sumu, nikabaki nashangaa maneno yote hayo ya ninini
😀Halafu utakuta nauza matembele na mchicha
au NYANYA katandaza Chini dah !!
Tuna SAFARI ndefu y kustaarabika
Mbaya zaidi ukute ndo katoka KUVUNJA KIKOBA au ndo kapokea MCHEZO(upatu) yaan MAKAVU live na kisha anashushia cheko fulani hivi amazing la kukela
halafu anamalizia na kwendraaaaaaaa