Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Ndio alivyo nilipata kusikia malalamiko kumuhusu toka kwa watu wengne anajinusha hivyo hivyo. Nikishajua mahala wana huduma mbovu huwa sirudii kwenda. Yaan unaenda sehemu utadhan unaomba msaada wanavyoringa.huyo itakuwa ndivyo alivyo mimi mwenyewe sipendelei kupata huduma mahali ambapo mtu anajinunisha kama ana mimba changa
Sent using Jamii Forums mobile app