Kuna vitu huwa vinakera sana na kushangaza kwa baadhi ya wafanyabiashara wanavyofanya biashara zao

Kuna vitu huwa vinakera sana na kushangaza kwa baadhi ya wafanyabiashara wanavyofanya biashara zao

huyo itakuwa ndivyo alivyo mimi mwenyewe sipendelei kupata huduma mahali ambapo mtu anajinunisha kama ana mimba changa
Ndio alivyo nilipata kusikia malalamiko kumuhusu toka kwa watu wengne anajinusha hivyo hivyo. Nikishajua mahala wana huduma mbovu huwa sirudii kwenda. Yaan unaenda sehemu utadhan unaomba msaada wanavyoringa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nilikuwa na bimkubwa Kariakoo akanunua kibao cha kukatia nyama tusikatie kwenye vibao vya plastiki, kumbe muuzaji huu anaodai ni mninga kaupaka varnish. Unapakaje varnish kwenye vyombo vya chakula, mtu anakwepa plastiki anakutana na varnish. Unakwepa nyama unakutana na mbogamboga zenye madawa, hapo umekimbia obesity ukakutana na toxins
IMG_20230509_143141.jpg
 
Kweli mm nilipata changamoto ya msaidiz wa ovyo yaani wateja nisipokuwepo wakija wanaondoka had niwepo niwahudumie au tukiwa wote wateja wanakuambia hatumtaki huyo km ukobusy nisubir au Nije wakat mwingine lkn nikagundua wengi hawana kauli nzuri Kwa wateja ni changamoto
Niliposafiri nikakuta wateja wote wamehama😀😀
lazima wahame, kauli ni muhimu sana kwa wateja wengi wanadhani kutoa huduma tu inatosha kumteka mteja.
 
Kuna duka la mtumba lilikua kahama .Aisee jamaa lilikuwa jivuni lile .Ukija linakucheki kama umepauka pauka hata haliinuki .Utaambiwa chagua unachotaka ukiuliza hii sendo bei gani? Linajiropokea mabei ya kujua lenyewe tu .Utasikia hiyo laki tatu na ishirini.Jivuni kweli lile fanyabiashara kama limelazimishwa.
 
Ndio alivyo nilipata kusikia malalamiko kumuhusu toka kwa watu wengne anajinusha hivyo hivyo. Nikishajua mahala wana huduma mbovu huwa sirudii kwenda. Yaan unaenda sehemu utadhan unaomba msaada wanavyoringa.

Sent using Jamii Forums mobile app
mtu from january to december ni kujinunisha tu alafu akipoteza wateja aseme kalogwa
 
Kuna restaurant nilikuwa napenda Kula ..siku moja nafika na kuna jamaa kamaliza Kula anaondoka...nikashangaa mama WA hapo anamuanzishia story jamaa ...kwamba hajabadili suruali siku ya pili ..sikurudi tena pale
tatizo la wamama wengi wa mtaani wanapenda sana umbea na kujua maisha ya watu. Ukishaona mtu kaondoka akasemwa tafsiri yake hata wewe ukunyanyuka ukaondoka watakusema vile vile.
 
Hapa nilikuwa na bimkubwa Kariakoo akanunua kibao cha kukatia nyama tusikatie kwenye vibao vya plastiki, kumbe muuzaji huu anaodai ni mninga kaupaka varnish. Unapakaje varnish kwenye vyombo vya chakula, mtu anakwepa plastiki anakutana na varnish. Unakwepa nyama unakutana na mbogamboga zenye madawa, hapo umekimbia obesity ukakutana na toxinsView attachment 2617959
hiyo ina madhara gani mkuu?
 
Kuna duka la mtumba lilikua kahama .Aisee jamaa lilikuwa jivuni lile .Ukija linakucheki kama umepauka pauka hata haliinuki .Utaambiwa chagua unachotaka ukiuliza hii sendo bei gani? Linajiropokea mabei ya kujua lenyewe tu .Utasikia hiyo laki tatu na ishirini.Jivuni kweli lile fanyabiashara kama limelazimishwa.
kuna watu kwa majivuno wameshindikana plus dharau. mtu hana uwezo au wa hali ya chini ni yeye mhudumie aende na maisha yake kikubwa kamudu kulipia huduma.
 
Katika miaka yangu 7 ya kubank na CRDB nimewahi hudumiwa mara 1 vizuri na mdada mmoja mzuri mweupe kama mimi, wa CRDB Chamwino-Dodoma. Yule dada alinihudumia nikaridhika nikatoka bank roho nyeupe. Wengine bwana! Kwanza mtu anaongelea tumboni, wako moody muda wote khaa!

Bank yangu ya sasa sijawahi pata expirience ya huduma mbaya.
 
Katika miaka yangu 7 ya kubank na CRDB nimewahi hudumiwa mara 1 vizuri na mdada mmoja mzuri mweupe kama mimi, wa CRDB Chamwino-Dodoma. Yule dada alinihudumia nikaridhika nikatoka bank roho nyeupe. Wengine bwana! Kwanza mtu anaongelea tumboni, wako moody muda wote khaa!

Bank yangu ya sasa sijawahi pata expirience ya huduma mbaya.
kumbe wewe ni mweupe, hongera. Huko benki wadada wengi mashauzi sana hasa hiyo benki uliyoitaja.

wapi huko umehamia tukimbilie kutafuta ahueni?
 
Back
Top Bottom