Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #81
nakuja soon zimebaki ngapi 😂Umegoma kuniungisha nyundo🤣🤣👋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakuja soon zimebaki ngapi 😂Umegoma kuniungisha nyundo🤣🤣👋
Zimebaki bandle 1 tu🤣🤣🤣👋nakuja soon zimebaki ngapi 😂
nilitaka bundle 3 lakini hyo moja nitaichukuaZimebaki bandle 1 tu🤣🤣🤣👋
Basi nakuwekea naomba uwahi usimtume Kijana 🤣🤣🤣🤣🤣👋nilitaka bundle 3 lakini hyo moja nitaichukua
shida yako ni kuniona au kuuza bidhaa? 😂Basi nakuwekea naomba uwahi usimtume Kijana 🤣🤣🤣🤣🤣👋
Utajua ukishafika dukani..kikubwa zingatia code njoo mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣👋shida yako ni kuniona au kuuza bidhaa? 😂
sawa mama muuza nyundo nitazingatia uyasemayo 😂Utajua ukishafika dukani..kikubwa zingatia code njoo mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣👋
sijakuelewa, hata sasa ninafanya biashara lakini pia ni mteja wa wafanyabiashara wengineBroo hujawah kufanya biashara tulia usiropoke tu ili unajua adha yake ww
Aaaah huyo nakupa baraka zooote,,,Tena Ukienda usirudi Mimi nitamwambia tu mzee home ,huyo kashuka juzi kutoka kwenye uapisho wa King Charles,,ukute Kuna kakipande alinyofoa kwenye kile kigarisawa mama muuza nyundo nitazingatia uyasemayo 😂
yasijenikuta kama ya MBOSSO-AMEPOTEA ngoja niage.
Dada Joannah mkiona sipatikani nipo kwa Lovie Lady 😀
acha nikapotelee kwake huenda akanifundisha na lugha ya malkia vyema kabisa🤗Aaaah huyo nakupa baraka zooote,,,Tena Ukienda usirudi Mimi nitamwambia tu mzee home ,huyo kashuka juzi kutoka kwenye uapisho wa King Charles,,ukute Kuna kakipande alinyofoa kwenye kile kigari
Lovie Lady tafadhali Mtunze mziwanda wa mama yangu
Kaka changamka,,,,mabegi nitaletaa mimiacha nikapotelee kwake huenda akanifundisha na lugha ya malkia vyema kabisa🤗
😂 dada kama dadaKaka changamka,,,,mabegi nitaletaa mimimi
sawa mkuuSababu nyingi ulizotoa chanzo ni wewe mteja kutojua haki zako. Haiwezekani mtu achukue hela yako halafu azungushe kukuhudumia halafu uendelee kumtazama.. kuwa kauzu kataa ujinga.
Mjini mipango damu yangu😂 dada kama dada
sikupingi na vile umenitangulia kuliona jua upo sahihi 😀Mjini mipango damu yangu
Kabisa mkuu.inakera mno utaratibu ni aliewahi kabla ahudumiwe wa kwanza.
Umesheleweka kabisa mkuu [emoji4]Tulikubaliana sisi wa daraja A tuwe tunafanya huduma-nafsi (self-service) supermarket na sehemu zinazoendana na hadhi husika? Kwa nini ujibanebane kwene dala2 wakati unamiliki chombo, tena namba E?
Ukitaka kuhudumiwa kama mfalme/malkia, malipo yako yawe ya kifalme na kimalkia. Tips kwa wingi, keep change, nk.
Niongeze volume, au? Niendelee, ama?