Ndio alivyo nilipata kusikia malalamiko kumuhusu toka kwa watu wengne anajinusha hivyo hivyo. Nikishajua mahala wana huduma mbovu huwa sirudii kwenda. Yaan unaenda sehemu utadhan unaomba msaada wanavyoringa.huyo itakuwa ndivyo alivyo mimi mwenyewe sipendelei kupata huduma mahali ambapo mtu anajinunisha kama ana mimba changa
lazima wahame, kauli ni muhimu sana kwa wateja wengi wanadhani kutoa huduma tu inatosha kumteka mteja.Kweli mm nilipata changamoto ya msaidiz wa ovyo yaani wateja nisipokuwepo wakija wanaondoka had niwepo niwahudumie au tukiwa wote wateja wanakuambia hatumtaki huyo km ukobusy nisubir au Nije wakat mwingine lkn nikagundua wengi hawana kauli nzuri Kwa wateja ni changamoto
Niliposafiri nikakuta wateja wote wamehamaππ
uliwaza nini mkuu?? πKuna restaurant nilikuwa napenda Kula ..siku moja nafika na kuna jamaa kamaliza Kula anaondoka...nikashangaa mama WA hapo anamuanzishia story jamaa ...kwamba hajabadili suruali siku ya pili ..sikurudi tena pale
mtu from january to december ni kujinunisha tu alafu akipoteza wateja aseme kalogwaNdio alivyo nilipata kusikia malalamiko kumuhusu toka kwa watu wengne anajinusha hivyo hivyo. Nikishajua mahala wana huduma mbovu huwa sirudii kwenda. Yaan unaenda sehemu utadhan unaomba msaada wanavyoringa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hawakosekani wateja wenye tabia za hovyo ila kuna wafanya biashara wamezidi hebu rejea point namba 1Msiwasingizie wafanyabiashara...
Wateja wengine kama mateja tu
tatizo la wamama wengi wa mtaani wanapenda sana umbea na kujua maisha ya watu. Ukishaona mtu kaondoka akasemwa tafsiri yake hata wewe ukunyanyuka ukaondoka watakusema vile vile.Kuna restaurant nilikuwa napenda Kula ..siku moja nafika na kuna jamaa kamaliza Kula anaondoka...nikashangaa mama WA hapo anamuanzishia story jamaa ...kwamba hajabadili suruali siku ya pili ..sikurudi tena pale
hiyo ina madhara gani mkuu?Hapa nilikuwa na bimkubwa Kariakoo akanunua kibao cha kukatia nyama tusikatie kwenye vibao vya plastiki, kumbe muuzaji huu anaodai ni mninga kaupaka varnish. Unapakaje varnish kwenye vyombo vya chakula, mtu anakwepa plastiki anakutana na varnish. Unakwepa nyama unakutana na mbogamboga zenye madawa, hapo umekimbia obesity ukakutana na toxinsView attachment 2617959
kuna watu kwa majivuno wameshindikana plus dharau. mtu hana uwezo au wa hali ya chini ni yeye mhudumie aende na maisha yake kikubwa kamudu kulipia huduma.Kuna duka la mtumba lilikua kahama .Aisee jamaa lilikuwa jivuni lile .Ukija linakucheki kama umepauka pauka hata haliinuki .Utaambiwa chagua unachotaka ukiuliza hii sendo bei gani? Linajiropokea mabei ya kujua lenyewe tu .Utasikia hiyo laki tatu na ishirini.Jivuni kweli lile fanyabiashara kama limelazimishwa.
tupe experience mkuu ila huwa wanajivuna sanaUsiombe biashara iwe ya ME halafu kuna KE waajiriwa wanaliwa na Boss halafu wewe KE uende kupata huduma/bidhaa, kwa bahati mbaya/nzuri uwe kazuri na Umependeza, utajua hujui kitu.
kumbe wewe ni mweupe, hongera. Huko benki wadada wengi mashauzi sana hasa hiyo benki uliyoitaja.Katika miaka yangu 7 ya kubank na CRDB nimewahi hudumiwa mara 1 vizuri na mdada mmoja mzuri mweupe kama mimi, wa CRDB Chamwino-Dodoma. Yule dada alinihudumia nikaridhika nikatoka bank roho nyeupe. Wengine bwana! Kwanza mtu anaongelea tumboni, wako moody muda wote khaa!
Bank yangu ya sasa sijawahi pata expirience ya huduma mbaya.
Equity mwaka wa 5 huu.kumbe wewe ni mweupe, hongera. Huko benki wadada wengi mashauzi sana hasa hiyo benki uliyoitaja.
wapi huko umehamia tukimbilie kutafuta ahueni?
hili nalo ni kweli hata comments zinathibitisha hilo, kuanzia mtaani kwa wajasiriamali wadogo mpaka huko maofisini.Wanawake tujitahidi nadhani sisi tunaongoza kwa kuwapa wateja expirience mbaya.
ok niceEquity mwaka wa 5 huu.
Mimi sio cheupe nimechomekea tu (kwa sauti ya uncle Magu RIP)
Niache na tukutane kwenye uzi wa kutunga sentensi kwa ID ππok nice
mimi nnachoamini wewe ni mweupe kama dada wa CRDB π
niite huko kwa sentensi nije nikutungie ya dada mweupe πNiache na tukutane kwenye uzi wa kutunga sentensi kwa ID ππ