Kuna vitu vya kuhonga ila bado sijawaza kuja kuhonga simu

Duuh genious wewe aiseee
 
Unakula Kwa urefu WA kamba yak,kam unazo honga tu watapigiwa wenzio kupitia hiyohiyo simu , duniani fujo tu
 
Kwani hata ukimpa pesa si atanunua tu simu...

Au mbaya zaidi ataenda mnunulia simu buzi wake mwingine
 
Mkuu nimekuelewa sana.
 
Kaka madenge na EINSTEIN112 mna maoni gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…