Kuna wadada wengine sijui wakoje! Huyu nimeshindwa kuelewa nimfanye nini

amenikwaza sana................ halafu hata si kwamba tuna naniii.....wala. urafiki tu ule akiwa so bored ananitafuta n.k sasa naona kama anataka niingiza kwenye mahusiano ambayo nayakwepa kwake.
Mkuu, kwani urafiku tu unakuzuia kuchakata mbususu!! Nahisi alifanya hivyo kwa makusudi kuona kama utamuomba mbususu!!

Tumshukuru rais!
 
Mwanaume huitaji kulialia we kula mzigo urudishie hasara iliyokupata
 
Hivi ni mimi tu humu JF ndio sina gari au kuna wenzangu?
Mkuu, kwani huwezi kuwa na gari la jamii forum utakalokuwa unalitumia kwenye nyuzi?!! Ukitoka hapo unadandia zako mwendo kasi kwenda nyumbani?

Natania tu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Leo ndo nimegundua kuwa kila mtu anampata wa kwendana nae! Hadi huyo dada naye ana gari!! Hii inaashiria hawezi kuwa kwenye mahusiano na kapuku!!
 
Sawa sweetheart ukirudi nakukabidhi funguo...

Ukigonga utaenda kukesha garage... Hahahaha
Hahahha na vile mafundi wako walivyo nitakesha…
Ila lazma nije kuchukua funguo nikaligonge kidogo sweetheart…
 
Hahahah ila hutaniacha salama nikiliharibu sweetheart
Nishaogopa…
Nitakuangalia alafu nitaanza kucheka...

Nikicheka mwenyewe utaanza kulia...

Kheri utakayemgonga awe mwanaume anaweza kukuhurumia, akiwa mwanamke mwenzako... Mtavutana nywele mpaka basi...
 
Nitakuangalia alafu nitaanza kucheka...

Nikicheka mwenyewe utaanza kulia...

Kheri utakayemgonga awe mwanaume anaweza kukuhurumia, akiwa mwanamke mwenzako... Mtavutana nywele mpaka basi...
Make hapo ncheke sweetheart…
Nkiwa navutwa nywele wewe uko wap sasa
Bora uniokoe tu maana costs zitaongezeka hahah
 
Make hapo ncheke sweetheart…
Nkiwa navutwa nywele wewe uko wap sasa
Bora uniokoe tu maana costs zitaongezeka hahah
Uzuri huvai mawigi upo na your long natural hair...

Huyo utakae vutana nae kama kavaa wigi ukamvua full vibutu vimejaa vigodoro...
 
Uzuri huvai mawigi upo na your long natural hair...

Huyo utakae vutana nae kama kavaa wigi ukamvua full vibutu vimejaa vigodoro...
😆😆😆😆😆sweetheart usinichekeshe usiku wote huu…
Wewe jua akinipiga tu gharama zitaongezeka sweetheart hehehehe
 
😆😆😆😆😆sweetheart usinichekeshe usiku wote huu…
Wewe jua akinipiga tu gharama zitaongezeka sweetheart hehehehe
Hutapigwa kugonga sii ni Bahati mbaya na ajali haina kinga...

Mtavutana vutana tu Kwa maneno na nywele kidogo...
 
Hutapigwa kugonga sii ni Bahati mbaya na ajali haina kinga...

Mtavutana vutana tu Kwa maneno na nywele kidogo...
Hahahahahah sweetheart jaman
Wakati navutwa nywele wewe uko wap kwan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…