25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
hakuna ndoa ya kafiri na muisilam wewe tambuaSuluhishoo ni wanawake wa kiislamu kuolewa na wakristo ....pia wanawake wa kikristo kuolewa na wanaume wa kiislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna ndoa ya kafiri na muisilam wewe tambuaSuluhishoo ni wanawake wa kiislamu kuolewa na wakristo ....pia wanawake wa kikristo kuolewa na wanaume wa kiislamu
tofaotisha kuwe kimada na kuolewa hakuna ndoa kati ya kafiri na muisilamu fahamuhusomagi meseji za faiza mwanamke wa kiislam kuolewa na mme wa kikisto
ndio ww mungu wako si yesu mwana wamariyamu alie katwa govi na kunvaa nguo za kitoto na kunyonyaKwa vile dini yako ya munyazmungu imesemwa?
Kuna wakatoliki wana aibisha ukatoliki.Mimi ni catholic lakini kwenye ukweli lazima tuseme
zimepita awamu Kama 5 hivi Ila kila awamu watu wenye majina ya kiislamu ndio utajwa hasa kwenye kashifa za madawa ya kulevya na uhujumu uchumi.
pia fatilia majina ya Panya road dsm wengi wao ukifatilia utakuta Wana majina ya kiislamu.
Imagine mtu aliyeenda kuhiji maka halafu leo anahusishwa na uuzaji na usambazaji wa madawa ya kulevya zaidi ya kilo 30?
Hii imekaaje uislamu umeingiliwa au ni kawaida!!
Angalia ile list of shame, waislamu ni wangapi? Mwangalie Rostam Azizi na mambo ya Dowans, Mwangalie Mo na kashifa ya wizi wa mashamba Ya mkonge tanga, Mwangalie Yusuf Manji na Kashifa ya madawa ya kulevya kuyatumia,
Mwangalie Nazir Kalamagi na Kashifa za ufisadi Tanesco!!
Angalia kikundi Cha watu waliochota pesa za escrow bank ya stanibic ambazo ni zaidi ya bilion 200 tafuta majina yao ndio utaelewa!!!.
Tumekuwa tukiaminishwa uislamu dini ya haki lakini waumini wake mbona ndio wanaongoza Sana kuhujumu uchumi wa taifa letu?
Halafu kwa unafiki mashehe wanakumbatia watu hatari wanaoiba pesa na kuzipeleka kujengea misikiti na kuwapa twatendaji wa taasisi!!
Sisemi Wakristo sio wezi hapana ni wezi maana hata escrow walipewa mgao mpaka mapadri lakini kiukweli mali za waislamu wengi matajiri ukifatilia unakuta ni uozo mtupu.
Shida nini ukitaka kudhibitisha ilo fanya research ya majambazi wanaokamatwa na majina yao au Panya road na majina yao au wauza madawa na majina yao utarudi hapa na kusema Hawa watu ni kiasi gani wanauchafua uislamu.
Hivi kafiri maana yake nini?kwani hakuna muislamu kafiri?tofaotisha kuwe kimada na kuolewa hakuna ndoa kati ya kafiri na muisilamu fahamu
Mkuu wangu ipo hiviMimi ni catholic lakini kwenye ukweli lazima tuseme
zimepita awamu Kama 5 hivi Ila kila awamu watu wenye majina ya kiislamu ndio utajwa hasa kwenye kashifa za madawa ya kulevya na uhujumu uchumi.
pia fatilia majina ya Panya road dsm wengi wao ukifatilia utakuta Wana majina ya kiislamu.
Imagine mtu aliyeenda kuhiji maka halafu leo anahusishwa na uuzaji na usambazaji wa madawa ya kulevya zaidi ya kilo 30?
Hii imekaaje uislamu umeingiliwa au ni kawaida!!
Angalia ile list of shame, waislamu ni wangapi? Mwangalie Rostam Azizi na mambo ya Dowans, Mwangalie Mo na kashifa ya wizi wa mashamba Ya mkonge tanga, Mwangalie Yusuf Manji na Kashifa ya madawa ya kulevya kuyatumia,
Mwangalie Nazir Kalamagi na Kashifa za ufisadi Tanesco!!
Angalia kikundi Cha watu waliochota pesa za escrow bank ya stanibic ambazo ni zaidi ya bilion 200 tafuta majina yao ndio utaelewa!!!.
Tumekuwa tukiaminishwa uislamu dini ya haki lakini waumini wake mbona ndio wanaongoza Sana kuhujumu uchumi wa taifa letu?
Halafu kwa unafiki mashehe wanakumbatia watu hatari wanaoiba pesa na kuzipeleka kujengea misikiti na kuwapa twatendaji wa taasisi!!
Sisemi Wakristo sio wezi hapana ni wezi maana hata escrow walipewa mgao mpaka mapadri lakini kiukweli mali za waislamu wengi matajiri ukifatilia unakuta ni uozo mtupu.
Shida nini ukitaka kudhibitisha ilo fanya research ya majambazi wanaokamatwa na majina yao au Panya road na majina yao au wauza madawa na majina yao utarudi hapa na kusema Hawa watu ni kiasi gani wanauchafua uislamu.
Ukisema uihukumu dini kupitia watu wenye maovuu ya dini flani hii inonesha kuwa ww pia n mdiniMkuu wangu ipo hivi
Hayo majina wa Waislam siyo kigezo kwamba dini anayotoka mtu inachafuka...
Hakika hata wewe wahukumu tayariUkisema uihukumu dini kupitia watu wenye maovuu ya dini flani hii inonesha kuwa ww pia n mdini
Hivi wewe huwezagi kuandika vizuri??? Umeishia la ngapi?huyu hapa alikuwa rais muisilam katesa sana watu na kapole hela kaficha china kweli waisilam mafiadi wauaji sana View attachment 2518035
Hivi wewe huwezagi kuandika vizuri??? Umeishia la ngapi?
Zipo nyingi sanaa na ndo imefanya jamii kutokuwa na misimamo mikali ya udini (uislamu/ukristo) kwa hapa Tanzania barahakuna ndoa ya kafiri na muisilam wewe tambua
Kwa Nini Muhammad alikuwa Govinda , hakukatwa govi ?yesu mwana wamariyamu alie katwa govi
muhammad hakuwa mungu,nyiyi mnasema yesu ni mugu huyo mungu wenu wa ajabu sana kakatwa govi kavaa nguo za vichanga kanyoyoKwa Nini Muhammad alikuwa Govinda , hakukatwa govi ?
usipotezee nilicho kiandika mbona umekifahamu basi ujui kusomaHivi wewe huwezagi kuandika vizuri??? Umeishia la ngapi?
tatizo linaanzia hapo. Hata mashekhe wanasapoti upande fulani wa kisiasa hakuna dini sahihiMimi ni catholic lakini kwenye ukweli lazima tuseme
zimepita awamu Kama 5 hivi Ila kila awamu watu wenye majina ya kiislamu ndio utajwa hasa kwenye kashifa za madawa ya kulevya na uhujumu uchumi.
pia fatilia majina ya Panya road dsm wengi wao ukifatilia utakuta Wana majina ya kiislamu.
Imagine mtu aliyeenda kuhiji maka halafu leo anahusishwa na uuzaji na usambazaji wa madawa ya kulevya zaidi ya kilo 30?
Hii imekaaje uislamu umeingiliwa au ni kawaida!!
Angalia ile list of shame, waislamu ni wangapi? Mwangalie Rostam Azizi na mambo ya Dowans, Mwangalie Mo na kashifa ya wizi wa mashamba Ya mkonge tanga, Mwangalie Yusuf Manji na Kashifa ya madawa ya kulevya kuyatumia,
Mwangalie Nazir Kalamagi na Kashifa za ufisadi Tanesco!!
Angalia kikundi Cha watu waliochota pesa za escrow bank ya stanibic ambazo ni zaidi ya bilion 200 tafuta majina yao ndio utaelewa!!!.
Tumekuwa tukiaminishwa uislamu dini ya haki lakini waumini wake mbona ndio wanaongoza Sana kuhujumu uchumi wa taifa letu?
Halafu kwa unafiki mashehe wanakumbatia watu hatari wanaoiba pesa na kuzipeleka kujengea misikiti na kuwapa twatendaji wa taasisi!!
Sisemi Wakristo sio wezi hapana ni wezi maana hata escrow walipewa mgao mpaka mapadri lakini kiukweli mali za waislamu wengi matajiri ukifatilia unakuta ni uozo mtupu.
Shida nini ukitaka kudhibitisha ilo fanya research ya majambazi wanaokamatwa na majina yao au Panya road na majina yao au wauza madawa na majina yao utarudi hapa na kusema Hawa watu ni kiasi gani wanauchafua uislamu.
FactMkuu, majina ni ya kiislam au ya kiarabu?