DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Habari,

Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au Malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.

Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.

Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.
 
Ni tangu kitambo sana na chaka kao kubwa lilikuwa Mwenge .. Hii ninayosemea ni wayback 2010 na kuendelea au kurudi nyuma kidogo. Wengi walitawanywa kwenye familia zinazojiweza na kuwa ma house boys na girls kwa mishahara mizuri kutokana na kumudu lugha ya kiingereza vizuri.

Wengine walikuwa waajiriwa kwenye mabaa makubwa, hotel na sehemu za starehe

Walipatikana zaidi
Mwenge
Kijitonyama
Ma saki
Mikocheni
Oyterbay
Maeneo jirani na chuo kikuu
Kamwe no

Wengi wao waliajiriaa kwenye familia za matajiri, wageni, wafanyabiashara na wawekezaji mbalimbali.. Kuna ambao walijiongeza wakajifunza Kiswahili haraka na mikataba yao ya Kazi ilipokwisha wakajichanganya mitaani kuoa na kuolewa.. Wapo pia wenye vitambulisho vya taifa kabisa..!

Kwa jinsi walivyokuwa wanakuja kwa wingi sssa hivi watakuwa wamejichanganya sehemu kubwa ya nchi na hata Dodoma wapo wa kutosha sana.. Last week nilikuwa Tanga kwenye mishe zangu nikakutana na mmoja dogo tu anafanya ishu za madini.. Hajui kabisa Kiswahili hivyo anatembea na mkalimani na tayari amepata binti wa kitanga [emoji23]
 
Uswazi kote wamalawi wapo.

Ukipiga nao stori wanasema Tz tuna vitu vingi bei rahisi ila kwao ni bei ya juu mno. Mfano kwa mtaa wa Mwananyamala wana kama kampuni yao inasafirisha vitu kutoka Tz kwenda Malawi utakuta wanapeleka magodoro, ndoo za plastiki, nguo na vitu kama hivyo.

Wanasema kwamba sababu pekee wao huvaa nguo hazieleweki ni kwakua huko kwao nguo ni bei ghali so wakifika hapa wanakuta nguo ni bei ya kawaida na huchukua zile za bei ya kawaida kabisa na kujikuta wanavaa mno midosho.

Hata hivyo competency ya uhamiaji is very questionable. Wakitia timu sehemu ni wawe wameshtuliwa ili kuja kuchukua hela.
 
Habari,

Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.

Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.

Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.


Wa Malawi wapo wengi sana Dar es salaam kila mahali, Boko wamejaa, na ni wachapa kazi kweli kweli, kwa ujira wa kawaida.

Sasa sijui wamekukosea nini? Maana hawazuru mtu, na pia unajuaje hawana vibali wote? Una uhakika gani?

Ujaona wazungu wengi maeneo ya Masaki? Mbona hao hujawataja? Mpaka umewasumbua wa Malawi wa watu?

Mbona wa Africa mnachukiana? Kwa hiyo ukiwaona wazungu unajua wote wana vibali ila wa Africa wenzako hawana?
 
Wa Malawo wapo wengi sana Dar es salaam kila mahali, Boko wamejaa, na ni wachapa kazi kweli kweli, kwa ujira wa kawaida.

Sasa sijui wamekukosea nini? Maana bawazuru mtu, na pia unajuaje hawana vibali wote? Una uhakika gani?

Ujaona wazungu wengi maeneo ya Masaki? Mbona hao hujawataje? Mpaka umewasumbua wa Malawi wa watu?
kwa sarufi hii bila shaka na wewe ni mmalawi
 
Habari,

Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.

Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.

Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.
Sina shida na uwepo Wao kea Uwingi kwani hata Watanzania nao wako Wengi sana Afrika Kusini na 70% hawana Vibali.
 
Ni tangu kitambo sana na chaka kao kubwa lilikuwa Mwenge .. Hii ninayosemea ni wayback 2010 na kuendelea au kurudi nyuma kidogo
Wengi walitawanywa kwenye familia zinazojiweza na kuwa ma house boys na girls kwa mishahara mizuri kutokana na kumudu lugha ya kiingereza vizuri
Wengine walikuwa waajiriwa kwenye mabaa makubwa, hotel na sehemu za starehe
Walipatikana zaidi
Mwenge
Kijitonyama
Ma saki
Mikocheni
Oyterbay
Maeneo jirani na chuo kikuu
Kamwe no
Wengi wao waliajiriaa kwenye familia za matajiri, wageni, wafanyabiashara na wawekezaji mbalimbali.. Kuna ambao walijiongeza wakajifunza Kiswahili haraka na mikataba yao ya Kazi ilipokwisha wakajichanganya mitaani kuoa na kuolewa.. Wapo pia wenye vitambulisho vya taifa kabisa..!

Kwa jinsi walivyokuwa wanakuja kwa wingi sssa hivi watakuwa wamejichanganya sehemu kubwa ya nchi na hata Dodoma wapo wa kutosha sana.. Last week nilikuwa Tanga kwenye mishe zangu nikakutana na mmoja dogo tu anafanya ishu za madini.. Hajui kabisa Kiswahili hivyo anatembea na mkalimani na tayari amepata binti wa kitanga [emoji23]
Nenda Malawi utawakuta watamzania wengi sana pia kiswahili si lugha mali ya Tanzania, Malawi kipo pia na kuna wale wa Kyela ambao uraia hubadilika kutokana na kubadilika mkondo wa mto Songwe, pia baadhi ya makabila yapo pande zote mbili, nenda Ileje unaweza ukaingia Malawi bila kujua mpaka mtu akufahamishe, hii hutokana na watu wake kuwa jamii moja.
Swali langu kwako kutokana na unachokilenga, unadhani unaowalenga wakiondoka wazungu watakuajiri wewe kazi za nyumbani? Lugha na uaminifu unavyo?
 
Habari,

Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.

Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.

Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.
Acha roho mbaya wewe mjomba mbona kuna wabongo wengi tu nchi za watu wanahangaika na maisha. Hii Roho ya kimasikini kabisa. Wamekuja kutafuta life waache wapambane
 
Habari,

Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.

Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.

Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.
Nina taalifa zao kwahiyo ww waache tu
 
Nenda Malawi utawakuta watamzania wengi sana pia kiswahili si lugha mali ya Tanzania, Malawi kipo pia na kuna wale wa Kyela ambao uraia hubadilika kutokana na kubadilika mkondo wa mto Songwe, pia baadhi ya makabila yapo pande zote mbili, nenda Ileje unaweza ukaingia Malawi bila kujua mpaka mtu akufahamishe, hii hutokana na watu wake kuwa jamii moja.
Swali langu kwako kutokana na unachokilenga, unadhani unaowalenga wakiondoka wazungu watakuajiri wewe kazi za nyumbani? Lugha na uaminifu unavyo?
Vipi una shida gani na hiki nilichochangia kwenye hii mada? Mbona umekuja kwa kupaniki sana?
 
Back
Top Bottom