DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari,

Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au Malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.

Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.

Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.
Wangejaa WaChina ungechunguza?
 
Wa Malawi wapo wengi sana Dar es salaam kila mahali, Boko wamejaa, na ni wachapa kazi kweli kweli, kwa ujira wa kawaida.

Sasa sijui wamekukosea nini? Maana hawazuru mtu, na pia unajuaje hawana vibali wote? Una uhakika gani?

Ujaona wazungu wengi maeneo ya Masaki? Mbona hao hujawataja? Mpaka umewasumbua wa Malawi wa watu?

Mbona wa Africa mnachukiana? Kwa hiyo ukiwaona wazungu unajua wote wana vibali ila wa Africa wenzako hawana?
hiki ni kiswahili cha kimalawi pure. mulibwanji.
 
Back
Top Bottom