The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Philip Mpango na Mwendazake je?Warundi eg Zitto Kabwe na Shehe Ponda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Philip Mpango na Mwendazake je?Warundi eg Zitto Kabwe na Shehe Ponda
Wengi wanaona tz Kama ulaya ya magharibi nilikuwa Malawi kipind fln aisee jamaaa wanapakubali Sana dar es Salam yaani wanaamini kbsa wako mbeleNi tangu kitambo sana na chaka kao kubwa lilikuwa Mwenge .. Hii ninayosemea ni wayback 2010 na kuendelea au kurudi nyuma kidogo
Wengi walitawanywa kwenye familia zinazojiweza na kuwa ma house boys na girls kwa mishahara mizuri kutokana na kumudu lugha ya kiingereza vizuri
Wengine walikuwa waajiriwa kwenye mabaa makubwa, hotel na sehemu za starehe
Walipatikana zaidi
Mwenge
Kijitonyama
Ma saki
Mikocheni
Oyterbay
Maeneo jirani na chuo kikuu
Kamwe no
Wengi wao waliajiriaa kwenye familia za matajiri, wageni, wafanyabiashara na wawekezaji mbalimbali.. Kuna ambao walijiongeza wakajifunza Kiswahili haraka na mikataba yao ya Kazi ilipokwisha wakajichanganya mitaani kuoa na kuolewa.. Wapo pia wenye vitambulisho vya taifa kabisa..!
Kwa jinsi walivyokuwa wanakuja kwa wingi sssa hivi watakuwa wamejichanganya sehemu kubwa ya nchi na hata Dodoma wapo wa kutosha sana.. Last week nilikuwa Tanga kwenye mishe zangu nikakutana na mmoja dogo tu anafanya ishu za madini.. Hajui kabisa Kiswahili hivyo anatembea na mkalimani na tayari amepata binti wa kitanga [emoji23]
Wamalawi ni watu wazuri sana kitabia. Sijawahi kusikia wanaleta chokochoko zozote. Nadhani kiwango cha umaskini kwao kiko juu ndiyo maana wanakuja kutafuta maisha. Rais wanaotakiwa kipiga marufuku ni mapopo.Habari,
Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.
Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.
Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.
Hao ni ndugu zetu ila west African he'll noWacha waishi tu bongo wamalawi hawana sifa ya kufanya biashara haramu watu ambao inatakiwa wafutiliwe sana ni hawa wapopo wana dili chafu sana
Wenyewe kwa wenyewe tunakazianaAfricans tend to glorify their differences more than those aspects that unifies us.
We are all Africans in African continent, This boundaries between us are just Fictional identity.
Lijitu ambalo halijawahi kuvuka bodaUkimwambia Karume ni mmalawi hawezi kuamini, Ukimwambia aliyepandisha bendera mlima kilimanjaro ni mmalawi hawezi kuamini. Watu ambao hawasafiri ndio wanaweza kuongea hivyo,aende Lusaka akajionee watanzania walivyojaa tena hawana vibali na mamlaka za huko zinajua eneo hili kuna watanzania na hawana vibali.
Sahihi watanzania kule wengi kuliko wamalawi walioko Tanzania na wengi hata passport hawana sababu ya ukiritimba wa kutoa passport TanzaniaMalawi nako kuna watanzania kibao, maisha ni kusaidiana.
AhahahahahaahSina shida na uwepo Wao kea Uwingi kwani hata Watanzania nao wako Wengi sana Afrika Kusini na 70% hawana Vibali.
Mimi shida yangu Kubwa kwa Wamalawi walioko hapa Tanzania ni kwanini hawana Mbunye ( K ) Tamu japo siyo wachoyo wa Kukuvulia Chupi zao?
acheni ubaguzi....hawa wote ni wana wa Africa.Mwananyamala,tandale,msasani,kawe,mikocheni malawians are on top and they just relax like they are in their homeland they drunk bananas (beer) too much
Mwalimu nyerere aliwajaza ikulu enzi hizo, katika watu bora,waaminifu friendly wana akili,hawana majidai hawachagui kazi ni jamii ya wamalawi,hata karume alikuwa mmalawi,wamalawi HAWANA NENO,karibuni sana.Shamba la bibi
"They Drunk"Mwananyamala,tandale,msasani,kawe,mikocheni malawians are on top and they just relax like they are in their homeland they drunk bananas (beer) too much
Kuelewana na kua mjuzi wa hiyo lugha ni ishu mbili tofautiShule zote Malawi hufundisha kwa kiingereza, hakuna shule zinazoweka ada kubwa kwa ujinga eti wanafundishia kiingereza, mbona hata hapa mpaka miaka ya sitini mwishoni shule zote kasoro za TAPA zilikuwa zinafundisha kwa kiingereza.
Hao mahausi boi na geli wanapendwa na wazungu kws sababu wanaelewana lugha, kuna mzungu mmoja bahati mbaya aliingia kichwa kichwa akaajiri mmbongo akawa kila siku ananiita nimtafsirie maagizo, mwisho wenzake wakamtafutia mmalawi.
I Didnt racism them they are our friends in the streetacheni ubaguzi....hawa wote ni wana wa Africa.