Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Uhamiaji wanalipwa na hawa jamaa itakuwa wanapewa "hush money". Tunahitaji kuboresha sheria ya kudeal na rushwa vema ili tuweze kudhibiti watendaji wala rushwa na kuwatokomeza.Uswazi kote wamalawi wapo.
Ukipiga nao stori wanasema Tz tuna vitu vingi bei rahisi ila kwao ni bei ya juu mno. Mfano kwa mtaa wa Mwananyamala wana kama kampuni yao inasafirisha vitu kutoka Tz kwenda Malawi utakuta wanapeleka magodoro, ndoo za plastiki, nguo na vitu kama hivyo.
Wanasema kwamba sababu pekee wao huvaa nguo hazieleweki ni kwakua huko kwao nguo ni bei ghali so wakifika hapa wanakuta nguo ni bei ya kawaida na huchukua zile za bei ya kawaida kabisa na kujikuta wanavaa mno midosho.
Hata hivyo competency ya uhamiaji is very questionable. Wakitia timu sehemu ni wawe wameshtuliwa ili kuja kuchukua hela.