Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok keep it in your head that theory, names have hot nothing to do with countries. Ukijiuliza wajapani wamepataje jina la Kumamoto labda utanielewa.General rule ni niliyoisema
Exceptions za general rule ni ulizozisema.
But in its basic Chirwa ni Mmalawi
Hili ndiyo la msingiSina shida na uwepo Wao kea Uwingi kwani hata Watanzania nao wako Wengi sana Afrika Kusini na 70% hawana Vibali.
Mimi shida yangu Kubwa kwa Wamalawi walioko hapa Tanzania ni kwanini hawana Mbunye ( K ) Tamu japo siyo wachoyo wa Kukuvulia Chupi zao?
ingia na wewe kwao afu uongee maneno haya , hizi taratibu za kimataifa ndugu watu unapoingia nchi ya watu uwe na vibari halali sababu bajeti yetu ni kwaajiri ya TZ tu hawa wanatumia maji, madawa,umeme huduma zingine za kijamii za watanzania wakati na kwao kuna bajeti yao sijui unaelewa hapo hatujaongelea swala la usalama
Hakuna serikali hovyo na nchi hovyo kama Tanzania Kila kitu ni zero brainHabari,
Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.
Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.
Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.
Ifahamike pia wamalawi wameathirika sana na virus vya ukimwi sijui hili watanzania wamejipangaje, chukueni tahadhari.Sina shida na uwepo Wao kea Uwingi kwani hata Watanzania nao wako Wengi sana Afrika Kusini na 70% hawana Vibali.
Mimi shida yangu Kubwa kwa Wamalawi walioko hapa Tanzania ni kwanini hawana Mbunye ( K ) Tamu japo siyo wachoyo wa Kukuvulia Chupi zao?
Msalimie bibi deboraHata Sisi watanzania tumejaa hapa Lilongwe Malawi,watu wana maduka,migahawa,vibanda vya chips ,umachinga ,biashara za mazao nk. Hatuna vibali vya kufanya biashara zaidi ya entry permit ya kwenye passport.
Hapo kwenye too much banana beers 🍺 🍻 🍌🍌 nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣Mwananyamala,tandale,msasani,kawe,mikocheni malawians are on top and they just relax like they are in their homeland they drunk bananas (beer) too much
Ukimwambia Karume ni mmalawi hawezi kuamini, Ukimwambia aliyepandisha bendera mlima kilimanjaro ni mmalawi hawezi kuamini. Watu ambao hawasafiri ndio wanaweza kuongea hivyo,aende Lusaka akajionee watanzania walivyojaa tena hawana vibali na mamlaka za huko zinajua eneo hili kuna watanzania na hawana vibali.Unahangaika na maskini mwenzako asiye na hatia ambaye amekuja kutafuta ugali na kupunguza umaskini uliokithiri kisa mpaka uliwekewa na mzungu ukasahau hao ndiyo walioipa Uhuru Zanzibar .Aman Abeid Karume. Mbona haujadili hao Wachina na Wahindi waliokuzunguka hapo ulipo na muda wote wanajificha ndani. Acha umbumbumbu .
Popote umuonapo Mtu mweusi ujue tu ni Mtumwa Mwenzako anahangaika kupata chakula tu.Maana elimu aliyopewa ya kitumwa tu wala haina Msaada kwa jamii yetu.
Acha chuki zidi ya Maskini mwenzako
naweza kupatapo mmoja wapo nimkonyee dusheHabari,
Nimejaribu sana kufuatilia na kugundua sana sehemu ya Mwananyamala kumejaa sana wakimbizi au malawi au wamalawi wengi wano ishi bila ya kua na vibari.
Sijajua Uhamiaji wanafanya kazi gani. Maana imekuwa kawaida sana kukuta wamalawi wakiwa wengi sehemu hiyo pamoja na Mbezi Beach wakiwa kama wafanyakazi wa ndani.
Sijajua shida ni nini ila naomba serikali ifanye jitihada. Maana nipo na rafiki yangu wa kike mmalawi.
Shule zote Malawi hufundisha kwa kiingereza, hakuna shule zinazoweka ada kubwa kwa ujinga eti wanafundishia kiingereza, mbona hata hapa mpaka miaka ya sitini mwishoni shule zote kasoro za TAPA zilikuwa zinafundisha kwa kiingereza.Wamalawi wezi pia nimewashuhudia.
Kiingereza siyo lugha ya kwanza Malawi badala yake wengi wanaoongea kiingereza kama lugha ya kwanza ni waliozaliwa centre la sivyo huanza na Kichewa na kutakiwa kujifunza
Hii ndiyo inawafanya msiajiriwe na wazungu, mzungu si muhindi mshahara si chini ya 5k na akiondoka anakufungashia furushi la nguo na vyombo hata flatisikirini atakupa kama ulifanya kazi kwa uaminifu mfano nyama ya mbwa wake ulinunua kama alivyokuachia maagizo alipoenda likizo, akimkuta amekonda atakufukuza na ujinha wetu eti unaenda baa kuchukua mabaki! Mbwa hali makombo.naweza kupatapo mmoja wapo nimkonyee dushe
kaka unaweza nisaidia namba zao inboxSina shida na uwepo Wao kea Uwingi kwani hata Watanzania nao wako Wengi sana Afrika Kusini na 70% hawana Vibali.
Mimi shida yangu Kubwa kwa Wamalawi walioko hapa Tanzania ni kwanini hawana Mbunye ( K ) Tamu japo siyo wachoyo wa Kukuvulia Chupi zao?
duuh eti wanajifanya wahaAngalau hao wanaimba na kusuka wadada na hawajifichi rahisi kuwakamata...warundi wanajifanya waha
Warundi eg Zitto Kabwe na Shehe PondaWarundi
Wamalawi
Wazambia
Hata wazimbabwe wako Tele Tz