Wa Malawi wapo wengi sana Dar es salaam kila mahali, Boko wamejaa, na ni wachapa kazi kweli kweli, kwa ujira wa kawaida.
Sasa sijui wamekukosea nini? Maana hawazuru mtu, na pia unajuaje hawana vibali wote? Una uhakika gani?
Ujaona wazungu wengi maeneo ya Masaki? Mbona hao hujawataja? Mpaka umewasumbua wa Malawi wa watu?
Mbona wa Africa mnachukiana? Kwa hiyo ukiwaona wazungu unajua wote wana vibali ila wa Africa wenzako hawana?