Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
hapana Mkuu, wanaume hatuambianagi Mambo na pia toka nimejiunga JF 2017 huwa sichati na wana DM yani nikimtafuta mtu naenda straight naeleza shida yanguLabda mwana alitaka kukujulia hali mkuu...
Hiyo ndio kazi yao kubet[emoji41][emoji28] [emoji28] [emoji28] Wazee wakuweka mizigo mezani wanabeti 1200
OkHahaha...mkuu kaza mwandiko wako....
Uwe unakoroma kwenye comments la sivyo hizi mamboz hazitaisha.
Soma tena comment yangu bossNj nayo alimwimbia nani?
Nope ninamajukumu yangu kubeti ni dhambi
sheria inasemaje juu ya kumiliki account mbili? unajaza servers tu 😀Mhhh! ni masikitiko makubwa sana kwa wanajamvi tena mwanaume na akili zako timamu unakaa kuvizia id mpya yenye kajina ambako unafikiri atakuwa msichana
Huo ni ulimbukeni na mwachage hiyo tabia kabisa nyie ndio mnao fanya watu waone Jf ni kama badoo kuja na kuja mnataka muombe tunda
kuna jinga moja hivi aisee achaga hizo huku sio facebook kuombana friend request in short mimi ni dume la mbegu na nimekuja kusumbua so tulia kijana hili ni jina tu.
Wala sio mpya humu tu ni maswahibu yalionikuta ya kusahau kipassword cha akaunti yangu
Mimi najua sio mwandishi mzuri
Naishi Milele
Sio JF tu....nadhani maisha yanabadilika kwa kasi...hapana Mkuu, wanaume hatuambianagi Mambo na pia toka nimejiunga JF 2017 huwa sichati na wana DM yani nikimtafuta mtu naenda straight naeleza shida yangu
Hatari! Sana
NakuzinguaSoma tena comment yangu boss
Mimi ni maarufu humu semaa wewe unanitafutia balaasheria inasemaje juu ya kumiliki account mbili? unajaza servers tu 😀
Mbwana Mdogo
Nina Mashine kama unauza kisamvu njooToa mbunye wahuni waishi! Hujainunua ulipewa bure sasa kiburi cha kunyima watu unakitoa wapi?
Yallah[emoji50]Toa mbunye wahuni waishi! Hujainunua ulipewa bure sasa kiburi cha kunyima watu unakitoa wapi?
Huyu jamaa kuna shida mahali
Chubwi bwana dah!Nina Mashine kama unauza kisamvu njoo
Kidume niwe binti haiwezekani, au na wewe.................