Sasa mke wa Nehemia Mchechu ana kitu gani cha kumzidi mumewe? 🤣 Mtu kashakuwa mkurugenzi wa Majengo yote makali mjini🤣 ni pesa kiasi gani anayo sasa.Yule mwanamke mpumbavu ni mke wa Nehemiah Mchechu, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la nyumba (NHC) sasa Msajili wa Hazina
Sijui Mchechu anaishije na mwanamke asiye na heshima kwa mume kama yule. Kwa kauli ile kamdhalilisha sana mumewe
Nimeshangaa kweli kweli hapo wanaishi tu siku ziende, kwa mpunga alio na Mchechu lazima ana kamchepuko namba E pisi kali tu. Huyo mke hana maajabuSasa mke wa Nehemia Mchechu ana kitu gani cha kumzidi mumewe? 🤣 Mtu kashakuwa mkurugenzi wa Majengo yote makali mjini🤣 ni pesa kiasi gani anayo sasa.
Humo sana sana jamaa watakuwa wanaishi tu kama wanandoa ila mapenzi hamna. Hio dharau sio ya nchi hii. No man can deal with such EGO.
💯🤝No man can deal with such EGO
kama ni kweli. basi hongeraItabidi muanze kuzoea tuu, wengine tulishazoea, sina shida kama anasema anaenda wapi kwa shughuli gani, kama huwezi sema umeshindwa bila ugomvi utoke ukatafute yule wa kukuomba ruhusa, enzi za kumkataza mwanamke asiende kwenye shughuli zake kwa sababu umeamua tuu ni kujitafutia pressure tuu na ugomvi wa bure, mimi kufua nguo zangu, kusafisha nyumba au kupika hainisumbui nafanya mwenyewe mpaka mke wangu anakasirika sometimes, tatizo ukinidanganya au usiponiaga unaenda wapi utajuta
Hawa viongozi wanaishi kulinda status tu ila hakuna mapenzi walaa niniYule mwanamke mpumbavu ni mke wa Nehemiah Mchechu, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la nyumba (NHC) sasa Msajili wa Hazina
Sijui Mchechu anaishije na mwanamke asiye na heshima kwa mume kama yule. Kwa kauli ile kamdhalilisha sana mumewe
Mwanamke hajaumbwa kua financial independent matokeo yake ndo haya tunayo yaona. Mwanamke ameletwa duniani kuzaa, kulea watoto na kufanya household chores, turudi kwenye vitabu vya dini ndo yanatupa muongozo.Mtu mzima haagi anatoa taarifa. Ndio maana alipotoa taarifa mumewe hakuwa na shida. Shida iko kwenu wenye mitizamo potofu.
Hivi sio nyie kila siku mnaropoka kutaka wanawake financial independent? Au huwa ni uchoyo unawasumbua kumbe deep within hamko tayari kwa wanawake hao!!!
Alie rogwa huwa hajui wanaomuangalia ndo wanajuaMwenye mke hana tatizo, wapambe sasa 😀😀😀
Iko wazi. Wanalinda heshima zao tu waonekane ni waume za watuHawa viongozi wanaishi kulinda status tu ila hakuna mapenzi walaa nini
Ndani kunafuka moshiiiIko wazi. Wanalinda heshima zao tu waonekane ni waume za watu
Hao ndiyo wanawake waliokombolewaBinafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?
USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
Hatari sanaNdani kunafuka moshiii
Mlipotuandaa kuwa financial independent na kuwa na elimu hamkujiandaa pia?Mwanamke hajaumbwa kua financial independent matokeo yake ndo haya tunayo yaona. Mwanamke ameletwa duniani kuzaa, kulea watoto na kufanya household chores, turudi kwenye vitabu vya dini ndo yanatupa muongozo.
Yani kazi zile za beki tatu zilee, ndo principal purpose yenu hapa duniani hakuna kingine. Na sisemi hivi kuwa despise, there is nothing like a mother's love,(I could stay for hours watching and admiring a mother's love akiwa na mwanae including wanyama wanavyo wa groom vitoto vyao), a woman that caters for her husband, apo Mungu ndo unaona ufundi wake alipokua anamuumba mwanamke. Kwa sector hio mwanamke ni guru hakoseagi yani, its like clockwork. Nimemaliza!
Hawa ndo ukiwapata unawakaza kama unauaNimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.
Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.
Ni kweli. Ili mradi hana tatizo sie wengine ni wambea tuAlie rogwa huwa hajui wanaomuangalia ndo wanajua
Hahaaaaaa, bro ukipiga utaua. Mungu atusaidie kwa kweli.Hii ni madhara ya kuishi katika egalitarian marriage.Wote mnakuwa vichwa vya familia mwanaume na mwanamke wote wanakuwa huru kufanya chochote.Ni Mbaya Sana hakuna sehemu ambayo Haina uongozi katika ulimwengu huu.
Pale unapoingia tu katika ndoa Inatakiwa mwanaume amwage sera zake zote anazotaka Kwa mwanamke akae akijua kabisa anatakiwa kufanya mapenzi ya mume wake na kutii.
Hawa Hawa wanawake wanataka wanaume watakaowaongoza lakini hawapo tayari kuongozwa.Nguvu ikiwemo kipigo lazima itumike Kwa wanawake wa aina hii la sivyo hatakuja kamwe kukusikiliza.
kwakweli, ukute mwenyewe kajituliza huko hana hata wazo hiloNi kweli. Ili mradi hana tatizo sie wengine ni wambea tu
KE wapuuzi kama huyu ndo wanafanya lile genge batili la Kataa Ndoa linazidi kustawi🙄
Hahaaaaaaa, utaua broKama mm ndo ningekua mumewe akirudi nyumbani atakuta vitu vyake vyote nje na ntatundika panga juu ya mlango akija aone tusije laumiana bdae..