Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Yule mwanamke mpumbavu ni mke wa Nehemiah Mchechu, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la nyumba (NHC) sasa Msajili wa Hazina

Sijui Mchechu anaishije na mwanamke asiye na heshima kwa mume kama yule. Kwa kauli ile kamdhalilisha sana mumewe
Sasa mke wa Nehemia Mchechu ana kitu gani cha kumzidi mumewe? 🤣 Mtu kashakuwa mkurugenzi wa Majengo yote makali mjini🤣 ni pesa kiasi gani anayo sasa.

Humo sana sana jamaa watakuwa wanaishi tu kama wanandoa ila mapenzi hamna. Hio dharau sio ya nchi hii. No man can deal with such EGO.
 
Nimeshangaa kweli kweli hapo wanaishi tu siku ziende, kwa mpunga alio na Mchechu lazima ana kamchepuko namba E pisi kali tu. Huyo mke hana maajabu
 
kama ni kweli. basi hongera
 
Yule mwanamke mpumbavu ni mke wa Nehemiah Mchechu, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la nyumba (NHC) sasa Msajili wa Hazina

Sijui Mchechu anaishije na mwanamke asiye na heshima kwa mume kama yule. Kwa kauli ile kamdhalilisha sana mumewe
Hawa viongozi wanaishi kulinda status tu ila hakuna mapenzi walaa nini
 
Mwanamke hajaumbwa kua financial independent matokeo yake ndo haya tunayo yaona. Mwanamke ameletwa duniani kuzaa, kulea watoto na kufanya household chores, turudi kwenye vitabu vya dini ndo yanatupa muongozo.

Yani kazi zile za beki tatu zilee, ndo principal purpose yenu hapa duniani hakuna kingine. Na sisemi hivi kuwa despise, there is nothing like a mother's love,(I could stay for hours watching and admiring a mother's love akiwa na mwanae including wanyama wanavyo wa groom vitoto vyao), a woman that caters for her husband, apo Mungu ndo unaona ufundi wake alipokua anamuumba mwanamke. Kwa sector hio mwanamke ni guru hakoseagi yani, its like clockwork. Nimemaliza!
 
Hao ndiyo wanawake waliokombolewa
 
Mlipotuandaa kuwa financial independent na kuwa na elimu hamkujiandaa pia?
Anzeni sasa kuwaandaa watoto wa kiume kuishi na aina hii ya wanawake mliowaandaa. Lasivyo mtaendelea kutamani visivyowezekana.

Au la, basi turudi 10000 steps back.
 
Hawa ndo ukiwapata unawakaza kama unaua
 
Hahaaaaaa, bro ukipiga utaua. Mungu atusaidie kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…