Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Ukimpata ambaye hakuwahi kutafuta pesa na hatafuti kabisa mlete hapa nikupe zawadi.Tuendelee kutafuta pesa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimpata ambaye hakuwahi kutafuta pesa na hatafuti kabisa mlete hapa nikupe zawadi.Tuendelee kutafuta pesa.
Wala nisingemsemesha kwa wiki nzima akiwa anashuhudia kila asubuhi na jioni nanoa panga langu vizuuuri afu naliweka mezani sebuleni.Kama mm ndo ningekua mumewe akirudi nyumbani atakuta vitu vyake vyote nje na ntatundika panga juu ya mlango akija aone tusije laumiana bdae..
Tarime anako toka Waitara?Mumewe atakua mzaramo.
Kule kwetu Tarime hakuna huo ujinga.
Wakati mwingine Mtu analazimika kucheka hata kama hataki hapa JF [emoji2]Stiyupidi.....[emoji3525]
Uko sahihi mno mno. Halafu huu ni ulimbukeni na hata wazungu hawafanyi hivyo! Wanandoa wa kizungu wanaheshimiana mno.Wanawake wa hivyo wengi ni wadangaji.
Trust me))
Wanaume wepi hamsemi semi? Nyie nyie au mnawaongelea wa sayari nyingine? Na inawezekana pia hana mchepuko na wanaheshimiana na mkewe vizuri tu na wala hana shida na kupewa taarifa. Taabu ni kwenu wapenda kuagwa sasa🤣🤣 sijui mmekuwa maiti🙆🙆🙆SASA WEWEE.!! FINANCIAL FREEDOM NDO IKUTIE KIBURI KWA MUMEO..!!?? Unachanganya kati ya upendo wa mke kwa mume na uwezo wa kifedha wa mke..!! Hivi una maanisha kuwa wanaotakiwa kuaga ni wale wasio na hela pekee!!???
Nikuambie, kukaa kimya kwa mwanaume hakumaanishi amekubaliana na kutoa kwako taarifa. Wanaume huwa hatusemisemi..!! Ila ilpo siku isiyo na jina utakuja kukiona cha mtema kuni. Usikute hasemi kitu kumbe ana kamchepuko kake kanampa heshima zote kama mume.
NB: wengine mnakuwa na financial freedom iliyotengenezwa na mume, ETI BADO USIMUAGE..!! Utakuja kuchinjwa..!!
Mwenye mke hana tatizo, wapambe sasa 😀😀😀
Umemsikia popote akisema haya uliyoyaandika?Mwenye mke hana tatizo, wapambe sasa 😀😀😀
Hizi porojo za kwenye makundi. Ila ubaya ni kuwa kuna wanawake wenye vichwa panzi ambao hu-copy na kwenda ku-paste kwenye ndoa zao.Usiamini unachokisikia
😂😂😂😂😂Wala nisingemsemesha kwa wiki nzima akiwa anashuhudia kila asubuhi na jioni nanoa panga langu vizuuuri afu naliweka mezani sebuleni.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mume mpumbavu hufanya nini?Mke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe
Ngumu kwako kwa mwingine ndiyo raha pengine.Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.
Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.
Mbona mumewe ana pesa chafu na anamuendeshaWanaume tafuteni pesa mnalialia sana.
Kwa sasa hivi mkuu hawapo labda uvuke borderCha muhimu tuwe makini kwenye kuchagua wanawake wenye hofu ile ya kweli kabisa ya kiroho