Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Katika zama hizi za mwanamke kuwa na uchumi, kuzidi mume..
Hapo kinachotakiwa ni upendo tu, unajua ukiwa na upendo kwa mwenza wako, hata umzidi kipato still utamuheshimu.

Sasa huyu hata huo upendo hana, anachoangalia yeye ana uchumi wake vizuri so anaweza kufanya lolote, na mume asiseme lolote.
Kweli wanawake tumewezeshwa, tumeweza. Kama unataka kuwa na mwenza ama ndoa yenye furaha, tanguliza upendo kwake.

Muishi kwanza kama marafiki, wapenzi na mume na mke. Mama hapo kakosea na siwezi fata mafundisho yake. Wee my man nampenda, niache kumpa taarifa mapema, hata anisaidie kunichagulia nguo kimahaba, aniambie jinsi ilivyonikaa na nilivyopendeza. Kuna watu hawajuhi mahaba bana kaa huyo bi hambiliki...
Ukiangalia, hata walioshiriki ule mkutano wa Beijing physically, KAMA HAWAKUWA WAMEACHIKA, BASI NDOA ZAO ZILIKUWA TAABANI BIN HOI, IN THE NAME OF HAKI SAWA
 
 
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable

Imagine mke wako anajitapa ivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli apo
Oa unae fanana nae,ukiishia sekondary ,na ukawa na kipato Cha laki Tano kwa mwezi,harsfu ukaoa msomi wa chuo kikuu,utakufa kwa kihoro!kwa wasomi sie,mwanamke kuwa na roho ya kujiamini kiasi hicho ndio safi,tunaikubali,sasa kama unataka mkeo awe kama kondoo,Binti zako watajifunza nini?,na wao wawe makondoo wakiolewa?mwanamke independent wa pesa kwenye familia ni muhimu sana,ukiona unashindwa kuishi na mwanamke msomi,basi wewe uanaume wako una mashaka.
Old skool men,Wanapenda kutumia amri tu,hawawezi kujenga hoja,wapo wanawake anaingia kwenye ndoa tayari ana pesa yake ndeefu,huyo lazima ujue akili ipo sana,huwezi kumpeleka peleka kama gari bovu
 
Mtu mzima haagi anatoa taarifa. Ndio maana alipotoa taarifa mumewe hakuwa na shida. Shida iko kwenu wenye mitizamo potofu.

Hivi sio nyie kila siku mnaropoka kutaka wanawake financial independent? Au huwa ni uchoyo unawasumbua kumbe deep within hamko tayari kwa wanawake hao!!!
SASA WEWEE.!! FINANCIAL FREEDOM NDO IKUTIE KIBURI KWA MUMEO..!!?? Unachanganya kati ya upendo wa mke kwa mume na uwezo wa kifedha wa mke..!! Hivi una maanisha kuwa wanaotakiwa kuaga ni wale wasio na hela pekee!!???
Nikuambie, kukaa kimya kwa mwanaume hakumaanishi amekubaliana na kutoa kwako taarifa. Wanaume huwa hatusemisemi..!! Ila ilpo siku isiyo na jina utakuja kukiona cha mtema kuni. Usikute hasemi kitu kumbe ana kamchepuko kake kanampa heshima zote kama mume.

NB: wengine mnakuwa na financial freedom iliyotengenezwa na mume, ETI BADO USIMUAGE..!! Utakuja kuchinjwa..!!
 
Maneno aliyotamka huo bibie ndio uhalisia wa ulimwengu wa Sasa....ndio mfumo ulioandaliwa ili kuuangusha uanamume Duniani....na huo mpango unaratibiwa na mashirika mbali mbali Duniani na fedha nyingi zinatumika kufanikisha Hilo Kwa kutumia NGOs mbali mbali......

Hizi ni nyakati ngumu sana kwa wanaume....ipo vita ya kimya kimya inayopiganwa ili kuondoa mfumo wa kiume Duniani.......

Mfumo huo unaanzia ngazi ya familia mpaka kwenye sheria za serikali......kila sehemu mwanaume amewekewa vikwazo na akisema ajitetee hata Kwa kuongea anaaambiwa anamkandamiza mwanamke.......

Matokeo yake Sasa hivi wanaume tumebakia wapweke hatuna pa kusema.....kisemeo chetu ni chupa za bia na pombe kali na kwenye mechi za ligi mbali mbali....huko ndiko ambako kidogo tunaweza walau kutabasamu.........

Kitu ambacho wanawake hawakijui ni kuwa hichi wanachokipigania ni ndio shimo lao la maangamizi.....muda utaongea....

Video ishatupiwa juu kabisa ya comments 20 za mwanzo.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nimeiona, Asante.
 
Oa unae fanana nae,ukiishia sekondary ,na ukawa na kipato Cha laki Tano kwa mwezi,harsfu ukaoa msomi wa chuo kikuu,utakufa kwa kihoro!kwa wasomi sie,mwanamke kuwa na roho ya kujiamini kiasi hicho ndio safi,tunaikubali,sasa kama unataka mkeo awe kama kondoo,Binti zako watajifunza nini?,na wao wawe makondoo wakiolewa?mwanamke independent wa pesa kwenye familia ni muhimu sana,ukiona unashindwa kuishi na mwanamke msomi,basi wewe uanaume wako una mashaka.
Old skool men,Wanapenda kutumia amri tu,hawawezi kujenga hoja,wapo wanawake anaingia kwenye ndoa tayari ana pesa yake ndeefu,huyo lazima ujue akili ipo sana,huwezi kumpeleka peleka kama gari bovu
Wanaopelekwa puta na wake zao utawajua tu. Halafu mkichapiwa mnaanza kuja kuomba ushauri huku jukwaani.
 
Kuna scenario moja kama hiyo kwenye bibilia katika kitabu cha Ester.
Mfalme aliandaa karamu kwa mawaziri wake, akawaambia waje na wake zao. Wakati mvinyo imekolea mfalme akaanza kusifia uzuri wa mkewe Vashti mbele ya wale mawaziri, bila shaka mawaziri wakataka kumwona huyo malkia ili wajiridhishe asemayo mfalme so mfalme akaamuru malkia Vashti aitwe.
Vashti akakataa, ndipo wale mawaziri wakamwambia mfalme ikiwa mkeo amekataa Amri yako mbele ya wake zetu basi uwe na uhakika wake zetu watafanya hivyo hivyo na kwetu pia. Wakamshauri mfalme amtimue huyo malkia na ajitafutie malkia mwingine ndio akampata Ester.
Huyo mama kuongea hivyo mbele ya lile jopo la wamama atakuwa amepanda uharibifu kwenye nyumba za watu usio wa kawaida unless wawepo miongoni mwao wenye akili wasiojua copy and paste.
 
U
changu kama yule hawezi kuwa na mume. anawadanganya walio ktk ndoa ili waharibikiwe kama yeye
Umewaza km mimi. Haiwezekani umeolewa na mwanaume mwenye akili timamu unaongea hivyo. Kwanza aksikia tu ukirudi lazima uchapwe. Na mwanaume mwenye akili timamu huwezi kumuaga hivyo hata km pesa na nyumba ni vyako. Si bora ulijulikane tu wewe ndiyo umeolewa kuliko dharau hizo. In short huyu hajaolewa hapo anawalisha wenzie ujinga ili waingie mkenge kwenye ndoa zao ili wakiachwa apate wadangaji wenzie.

Za kuambiwa changanya na zako. Hii ni laana inamtafuna ila yeye hajajigundua. Angekuwa jirani ningemwambia anioneshe mumewe km kweli anae nimtathimini. Hawa ndio wanaharibu vijana wetu wadogo kwa kuwafanya nariyoo. Huyu Hana mume wa ndoa.

Na hao waliovaa suruari hapo na wanachekelea utumbo wa huyo mama sio wanaume bali ndiyo walewale wasio ridhiki
 
Back
Top Bottom