Yohimbine
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 873
- 1,841
😅😅sijamzungumzia yule nimemzungumzia wengi wanaoteswaDemu mwenyewe sura mbovu kama parachichi tu ana uzuri gani huyo 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅sijamzungumzia yule nimemzungumzia wengi wanaoteswaDemu mwenyewe sura mbovu kama parachichi tu ana uzuri gani huyo 😂😂
Ok😅😅sijamzungumzia yule nimemzungumzia wengi wanaoteswa
Uzuri gani umeona pale. Kwanza ukute jeuri anayo kwa kumlea mume wakeShida mnajifanya mnaoa wanawake wazuri mturungishie washkaji haya sasa bebeni misalaba yenu
.......kamdhalilisha pakubwa sana na jinsi clip inavyotembea chap, ndugu wa Jamaa sijui wanajisikiaje huko.......wapo wengi wanaodharau waume zao lakini huwa hawaoneshi nje kiasi hicho, hata hapo wapo, kaharibu sana......Amemdhalilisha mumewe lakini😀wooi
.......ameshasoma, yeye anajionea sawa tu, kaniuliza kwani nahisi huo ni unyanyasaji Kwa mwanaume, kwamba ni kawaida tu, natakiwa nizoee......Asante sana we ntazana ntazana soma hii comment uielewe maana ndo uhalisia wenyewe huu
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable
Imagine mke wako anajitapa ivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli apo
View attachment 2570869
Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?
USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
Pesa za kumzidi Nehemia nitazipata liniWatu mmepanic, ukute na mumewe wanaishi vizuri tu. Tafuteni pesa habari ndo hiyo mshaipata
Tuna imani na Potter, mikumi tena [emoji3]Usiamini unachokisikia
Kila mtu ashinde mechi zake. Alopewa taarifa hana tatizo ila wanateseka wengine🤣Watu mmepanic, ukute na mumewe wanaishi vizuri tu. Tafuteni pesa habari ndo hiyo mshaipata
Kila mtu ashinde mechi zake. Alopewa taarifa hana tatizo ila wanateseka wengine🤣
........ kwakweli inatugharimu soon tutaanza kuoa wabaya, ingawa huyo mwanamke huwezi sema ni mrembo kiasi cha kutamkia hayo maneno yake......so the problem here ni kwamba jeuri ya pesa kama alivyotanabaisha mwenyewe.......Shida mnajifanya mnaoa wanawake wazuri mturungishie washkaji haya sasa bebeni misalaba yenu
Hatari sanaHakikisha mkeo anakutegemea kwa Kila kitu hata chupi ununue wewe bro heshima utaipata.imagine mwanamke amenunua gari lake mda wowote anatimka kusiko julikana hapo huna mke utashuhudia dharau mpk bas.
Lile pambio lenu la KATAA NDOA limesambaratishwa na massively atomic bomb, hadi sasa hivi timu KUBALI NDOA 3-0, nimekaa pale [emoji144][emoji4]Yule mwanamke mpumbavu ni mke wa Nehemiah Mchechu, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la nyumba (NHC) sasa Msajili wa Hazina
Sijui Mchechu anaishije na mwanamke asiye na heshima kwa mume kama yule. Kwa kauli ile kamdhalilisha sana mumewe
Tuendelee kutafuta pesa.Oh okay. Kumbe wewe ndo mchepuko wake?
Kuna tofauti kati ya kuaga na kutoa taarifa. Kuaga kuna nafasi ya kuambiwa usiende..!! Kutoa taarifa ni amri kwamba liwalo na liwe lazima uende..!!Si umesema katoa taarifa? Mbona tena unasema hajaaga? Au kuaga kwako ni kufanyaje?
Halafu uache umbea.