kelvinvevo
Senior Member
- Sep 12, 2021
- 108
- 375
Kama mm ndo ningekua mumewe akirudi nyumbani atakuta vitu vyake vyote nje na ntatundika panga juu ya mlango akija aone tusije laumiana bdae..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee kutafuta pesa.
Mwanaume kama umekubali kuteshwa na mkeo ujue hustahili kuitwa mwanaumeAsante sana we ntazana ntazana soma hii comment uielewe maana ndo uhalisia wenyewe huu
Yaaani pengine ni mihemko.......kamdhalilisha pakubwa sana na jinsi clip inavyotembea chap, ndugu wa Jamaa sijui wanajisikiaje huko.......wapo wengi wanaodharau waume zao lakini huwa hawaoneshi nje kiasi hicho, hata hapo wapo, kaharibu sana......
Kama huyu mwanamke wa Mchechu bado utakubali kuna ndoa hapo. Haujapitia nyuzi za karibuni kuhusu ndoa nini? Watu wanalia humu ndoa hazieleweki, fuatilia ujioneeLile pambio lenu la KATAA NDOA limesambaratishwa na massively atomic bomb, hadi sasa hivi timu KUBALI NDOA 3-0, nimekaa pale [emoji144][emoji4]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mtu mzima haagi anatoa taarifa. Ndio maana alipotoa taarifa mumewe hakuwa na shida. Shida iko kwenu wenye mitizamo potofu.Kuna tofauti kati ya kuaga na kutoa taarifa. Kuaga kuna nafasi ya kuambiwa usiende..!! Kutoa taarifa ni amri kwamba liwalo na liwe lazima uende..!!
NB:
KUNA TOFAUTI KATI YA MKE MWEMA NA MWANAMKE MPAMBANAJI....!!! Huyu wa kupambana, huwa anapambana hadi na mumewe. Mke mwema huwa mtiifu wakati wote..!!
Sasa ukute mwanamke kama huyo (wa kupambana na mumewe) awe ana madaraka, ana hela na ana shule kubwa..!! Lazima patachimbika..!!
Na wanawake dezaini hii, ndo wanafanya jaami ione kuwa ukmpa mwanamke uwezo, lazima aote kiburi cha kutaka kupambana na yeyote yule, hata mahala panapohitaji busara ndogo tu.
Huwezi luwa na hela na una hasira za kipuuzi hivyo. Hizo hasira zihamishie panapostahili sasa.Wewe ambaye huna na unataka tawala mumeo, kuna watu hatuna vita ya hela
........nafikiri ni hivyo mihemko, fantasy na obsession za hiyo sherehe mtu anajikuta anaropoka kutaka kuonekana!!..... si ajabu ameaga vizuri tu na ameahidi kurudi haraka nyumbani kabla mate aliyotema chini mumewe hayajakauka........Yaaani pengine ni mihemko
Mpwayungu ni huko kwenu, unataka kusema nini?Mumewe atakua mzaramo.
Kule kwetu Tarime hakuna huo ujinga.
Katika zama hizi za mwanamke kuwa na uchumi, kuzidi mume..Shemela Evelyn Salt, Bantu Lady, Mideko, lovely love, Kapeace, binti kiziwi, Dejane, Kalpana, Lanlady, Lovelovie, Numbisa, Mamndenyi etc embu elezeni kama huyu mama yupo sawa au la..!!
Victoire nami nimeokoka, tukutane hapa kwa Massawe tupongezane furaha ya wokovu tulionao.Huyu dada Mercy Luhanga. Mke wa Nehemia Mchechu. Ngonja nikamnyakie Mchechu nimpe heshima zote na mapenzi kama yote. Hahahhaha.Mbona Mercy atatia akili.Jamani ninatania tu,nimeokoka siwezi iba mme wa mtu.
Huwezi luwa na hela na una hasira za kipuuzi hivyo. Hizo hasira zihamishie panapostahili sasa.
Vifua vinatufichia siri nyingi sana Me ndani ya ndoa.Lahaulaa..!!!! Kumbe mwenzetu Nehemia ana tabu hivi..!!
Inashangaza sana.Kila mtu ashinde mechi zake. Alopewa taarifa hana tatizo ila wanateseka wengine🤣
Asante sana, nawe pia.Sawa, uwe na jioni njema an' weekend nzuri Dada.
Uyo cocastic uliambiwa wa kike??
Asante sana, nawe pia.
Na hivi wanaume huwa hatusemi, ni hatari..!!!Vifua vinatufichia siri nyingi sana Me ndani ya ndoa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Video ishatupiwa juu kabisa ya comments 20 za mwanzo.Naomba kujua uo Uzi na Mitandao Gani ya kijamii naweza pata hiyo video.