Wanacomplicate tu. Na watapata taabu sana. Mke ni patner na rafiki sio mtumwa kama wengi wanavyodhani.kwakweli, ukute mwenyewe kajituliza huko hana hata wazo hilo
Wale stingy men walikuwa wanajiita UWABATA sasa ni kataa ndoa😂KE wapuuzi kama huyu ndo wanafanya lile genge batili la Kataa Ndoa linazidi kustawi🙄
Huwezi kuwa serve two masters at the same time. Huwezi kupanda farasi wawili kwa wakati mmoja, utaishia kupiga msamba. Kua na uhuru wa kipato na ku heshimu waume zao? That's a lot on your plate (problems) you're asking for! You must pick one!This is inappropriate! Kama mtu kwake kunafukuta hahitaji kuhamasisha na kwa wenzio kuungue!
Young girls hawatakiwi kuambiwa haya, wanatakiwa wafundishwe kuwa na uhuru wa kipato, na pia wajifunze kuwa wake wema kwa waume zao, is that too much to ask?
Lazima tuelewe kuwa kwa kufuata utamaduni ambao si wakwetu, tunajikomoa wenyewe, tunakomoa our own future!
Binafsi nawaza sana, yawezekana kabisa wazazi waliolea watoto wao vyema wanapata shida sana kuwaoza watoto wao kwa vijana ambao hawajui upbringing yao, imagine uoe binti wa huyo mama ambaye kwa bahati ambaya asiwe an independent thinker!
eti eehe sawa! nini kigumu kumuheshimu mtu? Inahitaji nini? Visa ya kwenda mbinguni au?Huwezi kuwa serve two masters at the same time. Huwezi kupanda farasi wawili kwa wakati mmoja, utaishia kupiga msamba. Kua na uhuru wa kipato na ku heshimu waume zao? That's a lot on your plate (problems) you're asking for! You must pick one!
Ushaambiwa mume wa huyo bidada ni kibosile shiririka flani kubwa na pesa lakini mke ndio yuko ivo.Wanaume tafuteni pesa mnalialia sana.
Waitara alikulia Mombasa sio mkurya OG.Tarime anako toka Waitara?
W.ke aina hii ni mazumbukuku kabisaaaNimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.
Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.
Angekuwa mke wangu angekuta nimefunga mlangoNimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.
Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.
.....amuombe msamaha tena!! wakati kashadeclare kuwa ana jeuri ya pesa.......mimi ni muumini wa ukombozi wa kiuchumi kwa mwanamke ingawa huwa naona kabisa mafanikio kifedha Kwa wanawake ndio huwa mwanzo wa mwisho wa mahusiano mema kwa jamii, marafiki, familia na mume hence ndoa chaliii!!.......watu wengi huwanaga namna nzuri ya kuexpress their pride mwisho wanaishia kuonekana wanaringa, wajeuri, dharau nk.......poleni sana wanawake pengine haya yanafanyika out of their mind... very unfortunately......Huyu hata akikosea hawez kumuomba mumewe msamaha huyu.
Ndiyomaana makungwi wengi wa ushauri wa ndoa bora hawajaolewa au waliachika mapema sana, hii ndiyo dunia [emoji16]Wanacomplicate tu. Na watapata taabu sana. Mke ni patner na rafiki sio mtumwa kama wengi wanavyodhani.
Watu wana jinsi yao kuishi sio lazima tufanane. Na unaweza kukuta wanaishi vizuri bila tatizo.
Pia watu waelewe kwamba dunia inabadilika sana wategemee mabadiliko mengi. Tuachane na ndoa za watu tudeal na za kwetu maana zina matatizo ya kutosha.
Mke wa mwaka 1980 ni tofauti na mke wa 2022. Na tukifika 2050 sijui itakuaje.
Kataa ndoa itawafaa wengi wakaunge mkojo juhudi za kina Liverpool VPN . Ila ukweli ni kwamba mambo yamebadilika.
Ulipotelea wapi we kiumbe?Dah dunia imefika pabaya sana[emoji22][emoji22]Eh Mungu!
Uzuri ni kwamba sio wanawake wooote wanachagua kuenda the same path ya kua financial independent despite kua na elimu. Some women, preference yao ni kua submissive kwa waume zao na wana thamini sana values za traditional women.Mlipotuandaa kuwa financial independent na kuwa na elimu hamkujiandaa pia?
Anzeni sasa kuwaandaa watoto wa kiume kuishi na aina hii ya wanawake mliowaandaa. Lasivyo mtaendelea kutamani visivyowezekana.
Au la, basi turudi 10000 steps back.
Niende wapi nipo mie
Ndo hapoSiku hizi wanajiita Super woman, ukiongea nao kwa dakika 5 kama huna uvumilivu unaweza tandika makofi.
Msalimie bishop massaweHuyu dada Mercy Luhanga. Mke wa Nehemia Mchechu. Ngonja nikamnyakie Mchechu nimpe heshima zote na mapenzi kama yote. Hahahhaha.Mbona Mercy atatia akili.Jamani ninatania tu,nimeokoka siwezi iba mme wa mtu.