Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Mtihani kwa kweli, asichokijua kaonesha level ya upumbavu wake ulivokua mkubwa na bila kujua kamshusha mume wake hadhi mbele ya dunia
 
πŸ₯°πŸ₯°πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
πŸ“Œ
 
Wanawake wenye status wana changamoto sana...mwez ulio isha nikikuwa natoka zangu pahar keenye harakat kidogo niko kwenye kapikpik kangu naenda mwendo wa slow gafla kwa mbele kama mita 20 nikaona gar aina ya blevis dam ya mzee imekata kona kutoka barabara ya vumb kuja main ya rami iko kas bas niliv fik maeneo yale jamaa mmoja akanisimamisha akanambia ndug kwenda mjin ni bei gan nkamjibu sifki town kabsa but utanipa pesa yyte.

Bas akapanda mala alivo panda akanambia kaka fukuzia ile gari mbele ile brevis nkapata mshangao kidog nkaenda mwendo flan wa tahadhar uku nasoma mchezo kwa sait mirro na mbel nisije kuchomeshwa mar niliv ifkia gar ile ubavun upand wa mbele naona jamaa ana gusanisha mikon ishara ya kuomba msamaha iv uku anajisemea mama nisamehe.

Mmmh nikaguna kimya kimya ikabdi nimuulize jamaa vip kulikon jamaa akafunguka bro mm nashida sana yan uyu mke wangu anisikilizi kabsa kakosa kidog anatak tuachane na tukigombana tu anakinbilia gar anaondoka anaeza kaa uko ad akijisikia kurud lakin syo kuwa sitaki mwacha ila ninawatoto nae tena wadog ndo wanao niuma ntawaleaje au watalelewaje pia uyu mama ananisumbua kisa status yake asee napata tabu sana sema basi.....

mm ikabd nmwambie jitahd kuzngumza nae vem atakuelewa tu myamalize bas nika mshusha mitaa flan karb na mjini akasema ngoja nimfatilie najua anaenda ofisin kwake........

ushaur wangu wanaume tuwen makin sana namna tunavo walea wake zetu tunapo kuwa nao kwenye mahusiano ndivyo watakavyo itaji tuish nao kwenye ndoa, sasa kama ulikuwa unamlea kimiemko ya mapenz atakutesa san lakin kama ulimuandaa kuwa mama bora uto pata tabu,,,,,,,,

ILA KWANGU MM WAKINIZINGUAGA UWA NAJAZA MAJI KWENYE BESEN KUBWA NAMKABA VZUR NAMDUMBUKIZA KICHWA UMO KWA KUZINGATIA MUDA WAKITOKA APO WAPOLE PLUS MAFUA NA MAKAMAS KAMA KATOKA KUFUKIZWA.... uwa sipend ujinga mmπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Duh, brother naona hujiamini, sio kila mwanamke mwenye good income ni kicheche au haheshimu mme wake, mambo ya ndoa nzuri sometimes ni bahati tuu
 
Sure, we all still have alot of choices. Chagua kikufaacho, ila usione alichokichagua mwenzio kuwa ni kibaya kwasababu tu hakikufai wewe. Ndio maana hata katika maelezo yako haujasema kuwa wanaume wote wanasafiri kwenda Afrika na Asia kutafuta wanawake.

All in all the world is changing, its just a matter of time hata nyie akili zitabadilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…