Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Poleni wanaume, maana kwa wanawake wa aina hii mnapitia mengi

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna ndoa hapo. Kwanza tushawaambia ndoa ni haramu #KATAANDOA
 
Tunatoa taarifa ndio acheni mambo ya kitumwa hakuna alichokosea huyo mke wa nehemia
 
Yule mwanamke mpumbavu ni mke wa Nehemiah Mchechu, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la nyumba (NHC) sasa Msajili wa Hazina

Sijui Mchechu anaishije na mwanamke asiye na heshima kwa mume kama yule. Kwa kauli ile kamdhalilisha sana mumewe

Wanaelewana na mme wake hana shida nyie Ndio mnapata tabu
 
1.NImejifunza kitu kwenye hii stori..
2.Hilo zoezi hpo mwisho linaitwa WATER THERAPY πŸ˜…
 
Hakikisha mkeo anakutegemea kwa Kila kitu hata chupi ununue wewe bro heshima utaipata.imagine mwanamke amenunua gari lake mda wowote anatimka kusiko julikana hapo huna mke utashuhudia dharau mpk bas.

Mkuu unafikiri ili jambo ni rahisi kwa kila mwanaume, fikiria mshahara wako unalisha familia, unapeleka watoto shule, kma una na ndugu( wadogo zko) inabidi kuwa support, inabidi pia upate saving ya emergency kma magonjwa, upate saving ya maendeleo ya familia, je kwa kipato cha kawaida utabaki na nn hapo? na unakuta mwanamke anafanya kazi anaingiza mshahara karibu na wako au zaidi yako n unasema akutegemee wewe hadi chupi, basi akae nyumbani tu maana kazi yake haina tija kwa familia bali ni mzigo kwa mwanaume. Stupid,
 
UNAYUMBAA, kama umezidiwa kipato na mamsap wako wee ugulia moyon sio ku justify alichosema huyo feminist. Kwanza mada ni kuaga kwa mmeo wee kama unaona sawa mke kujiamulia chochote kisa wee ni new school sawa, kumuomba mume kutoka in advance ni kua kondoo?? stop simping! Unatudhalilisha.
 
itakuwa mwanamke kamuoa mwanaume siku hizi wimbi la wavulana wanaopenda kulelewa Ni kubwa .
 
Utakuja kwenda jela kijinga shauri zako. Mtu kama hamuelewani si muachane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…