Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo wee nae aaaahNa siku mkiweza kujipa mimba wenyewe itakuwa ze endiii..!!
Kwan uongo?? HELA ndo kila kitu.Mlongo, kwa mtindo wowote ule, ILE KAURI YA KUSEMA KILICHONIPA JEURI NI HELA ZANGU..!! Hakuna mtindo wa kutetea kauli hii..!! Yule ni mjinga mmoja tu anayedhani hela ndo mumewe..!!
Halafu eti wanataka kunyenyekewa, wanaishia kupewa taarifa tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Thubutuuu wanaume wachache wa kibongo wanaweza mudu Hilo[emoji135]wengi wanaoa kazi ya mwanamke,hela ya mwanamke,biashara ya mwanamke, degree ya mwanamke,wanasema wanaenda kusaidizana kujenga family Bora[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uongo 😅😅Tunaoifahamu hiyo ndoa acha tu 🤐
Mwanamke mashine bruhDuh.
Kumbe jamaa hajui kuchagua. Warembo wote Hawa Dar anachukua kile kituko?
Hana shapu
Hana chura
Hana mvuto
Hana sura.
Sio kwa wale CocaKhaaaaaah huwezi jua mtindo wao wa maisha ya ndoa.
Nisamehe mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana tena saaana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatokaa kwenye madaa, au wee ndo usiyeagwa ila ukapewa taarifa?? Lol
Labda kama unataka ubuyu jambo ambalo si zuri kwenye majukwaa kama haya. Ila nimeanza kuwafahamu tangu wakiwa wanaishi Mbezi Beach nimeenda mara kadhaa pale Oasis Village and Club, Mbezi Beach ambayo Mercy mwenyewe ni mkurugenziUongo 😅😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaa, woiiiiiiihNisamehe mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana tena saaana.
Mmmmh wee unajuajeee???Sio kwa wale Coca
Wadada mnapenda sana ubuyu nyie, tena kama wewe cocastic 🤣🤣🤣Mmmmh wee unajuajeee???
Ukiona mwanamke yupo ivo ujue katengenezwa na mumeweBinafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?
USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
no!Km pesa ninayo, gari yangu na mafuta najaza mwenyewe, kila kitu najifanyia mwenyewee, sasa naanzaje kuagq?? Baba tamu atapewa taarifa tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman tutafute pesa, ndo raha ya kujitegemea unakua HURU.
Umeongea point kubwa sanaHakikisha mkeo anakutegemea kwa Kila kitu hata chupi ununue wewe bro heshima utaipata.imagine mwanamke amenunua gari lake mda wowote anatimka kusiko julikana hapo huna mke utashuhudia dharau mpk bas.
We kifupi ni Mario mke ndo mtafutajiItabidi muanze kuzoea tuu, wengine tulishazoea, sina shida kama anasema anaenda wapi kwa shughuli gani, kama huwezi sema umeshindwa bila ugomvi utoke ukatafute yule wa kukuomba ruhusa, enzi za kumkataza mwanamke asiende kwenye shughuli zake kwa sababu umeamua tuu ni kujitafutia pressure tuu na ugomvi wa bure, mimi kufua nguo zangu, kusafisha nyumba au kupika hainisumbui nafanya mwenyewe mpaka mke wangu anakasirika sometimes, tatizo ukinidanganya au usiponiaga unaenda wapi utajuta
Dunia ya leo kuoa ni kujitafutia matatizo kikubwa ni kuwa na cash za kuwapelekea moto watoto wadogo namba EWanacomplicate tu. Na watapata taabu sana. Mke ni patner na rafiki sio mtumwa kama wengi wanavyodhani.
Watu wana jinsi yao kuishi sio lazima tufanane. Na unaweza kukuta wanaishi vizuri bila tatizo.
Pia watu waelewe kwamba dunia inabadilika sana wategemee mabadiliko mengi. Tuachane na ndoa za watu tudeal na za kwetu maana zina matatizo ya kutosha.
Mke wa mwaka 1980 ni tofauti na mke wa 2022. Na tukifika 2050 sijui itakuaje.
Kataa ndoa itawafaa wengi wakaunge mkojo juhudi za kina Liverpool VPN . Ila ukweli ni kwamba mambo yamebadilika.
Kama bado wapo wote wapo vizuri 😅Labda kama unataka ubuyu jambo ambalo si zuri kwenye majukwaa kama haya. Ila nimeanza kuwafahamu tangu wakiwa wanaishi Mbezi Beach nimeenda mara kadhaa pale Oasis Village and Club, Mbezi Beach ambayo Mercy mwenyewe ni mkurugenzi