To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
AminaMuda wowote siri ipo kwenye maombi na una mahusiano gani na unayemuomba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaMuda wowote siri ipo kwenye maombi na una mahusiano gani na unayemuomba.
Ni Kweli Hata wachungaji wanawake Naona wameongezeka sana. Yaani vidada Kila kukicha vinapewa uchungaji kinyume na maandiko ya Biblia na Hata Mila za jamii zetu za Kiafrika ,kiyahudi na Kiarabu ambapo ndipo lilipo chimbuko la Ukristo .Maneno aliyotamka huo bibie ndio uhalisia wa ulimwengu wa Sasa....ndio mfumo ulioandaliwa ili kuuangusha uanamume Duniani....na huo mpango unaratibiwa na mashirika mbali mbali Duniani na fedha nyingi zinatumika kufanikisha Hilo Kwa kutumia NGOs mbali mbali......
Hizi ni nyakati ngumu sana kwa wanaume....ipo vita ya kimya kimya inayopiganwa ili kuondoa mfumo wa kiume Duniani.......
Mfumo huo unaanzia ngazi ya familia mpaka kwenye sheria za serikali......kila sehemu mwanaume amewekewa vikwazo na akisema ajitetee hata Kwa kuongea anaaambiwa anamkandamiza mwanamke.......
Matokeo yake Sasa hivi wanaume tumebakia wapweke hatuna pa kusema.....kisemeo chetu ni chupa za bia na pombe kali na kwenye mechi za ligi mbali mbali....huko ndiko ambako kidogo tunaweza walau kutabasamu.........
Kitu ambacho wanawake hawakijui ni kuwa hichi wanachokipigania ni ndio shimo lao la maangamizi.....muda utaongea....
Kwani mume Wa huyo dada Hana pesa.?Wanaume tafuteni pesa mnalialia sana.
Ni Kwamba NAFASI na mafanikio waliyonayo wanaume wangekuwa nayo wanawake Dunia ingekua Jehanam mapema zaidi kabla ya Hukumu kuja?Kwahiyo kwa research yako unaona wanaume wananyanyasika kuliko wanawake?
Huu ndio ukwelichangu kama yule hawezi kuwa na mume. anawadanganya walio ktk ndoa ili waharibikiwe kama yeye
Yuko sahihi km wao ni mtindo wa maisha wamechagua.Wadada mnapenda sana ubuyu nyie, tena kama wewe cocastic [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuachane na hizo mada maisha yao hayatuhusu turudi kwenye hoja ya msingi wewe unaonaje kwa mke wa mtu alichosema yuko sahihi?
Unajidanganyaa wee.no!
you are wrong koka.
cjui umefikiria nin pengine wewe ni product ya new world order.
pesa haiwezi tatua hilo janga.
ilitakiwa wanaume wadevelope devine masculine consciousness.
Sijawahi kuona ndoa ambayo mwanamke anaongea peree pere pere kama unavyoongea wewe alafu ikadumu.Mara nyingi inakuwa matatani.Oa unae fanana nae,ukiishia sekondary ,na ukawa na kipato Cha laki Tano kwa mwezi,harsfu ukaoa msomi wa chuo kikuu,utakufa kwa kihoro!kwa wasomi sie,mwanamke kuwa na roho ya kujiamini kiasi hicho ndio safi,tunaikubali,sasa kama unataka mkeo awe kama kondoo,Binti zako watajifunza nini?,na wao wawe makondoo wakiolewa?mwanamke independent wa pesa kwenye familia ni muhimu sana,ukiona unashindwa kuishi na mwanamke msomi,basi wewe uanaume wako una mashaka.
Old skool men,Wanapenda kutumia amri tu,hawawezi kujenga hoja,wapo wanawake anaingia kwenye ndoa tayari ana pesa yake ndeefu,huyo lazima ujue akili ipo sana,huwezi kumpeleka peleka kama gari bovu
Halafu nawewe umekuja humu hujaniagaMbona unajichanganya..aya ya kwanza umesema amempa taarifa halafu aya inayofuata unadai ametoka bila taarifa
Nilikuja kukutafuta wewe babeHalafu nawewe umekuja humu hujaniaga
Nakusubiri.
🤣🤣🤣 Sasa mke akileta dharau wewe umezuiwa kumpiga chini na kuchukua mke mwengine?Hakikisha mkeo anakutegemea kwa Kila kitu hata chupi ununue wewe bro heshima utaipata.imagine mwanamke amenunua gari lake mda wowote anatimka kusiko julikana hapo huna mke utashuhudia dharau mpk bas.
🤣🤣🤣🤣 Aisee eti kusaidiana katika majukumu🤣🤣🤣 kwenye marimba ya mdhungu mnachaoa kirahisi tuu njoo sasa kwenye reality ..utaingia mkenge.Huyu anaamini kuwa free kipesa ndo kumdharau mme wako?Binafsi ukiwa free kipesa ni kusaidiana katika majukumu. Na si kumdharau mwenzako. Sema wanawake wenye ndoa za kikristo wengi wanadharau,wanajua mme hawezi ongenza mke mwingine.
Ujinga wao wenyewe. Mke akileta ujinga fukuza chukua chombo nyingine. Wakati wote mke akiwa kwenye ndoa atambue kuwa anaweza kuwa replaced. Ndio maana ni muhimu mke ajue kuwa una mcheps. Usimfiche kamweKuna wanaume wanapitia tanuru la moto kwenye ndoa zao asee.
Umekuja kumtetea huyo mwanamke sketi aliyekosa heshimaNilikuja kukutafuta wewe babe
iyo ni pesa ila kuna familia ambayo lazima mmoja awe juu kama kiongozi.Km pesa ninayo, gari yangu na mafuta najaza mwenyewe, kila kitu najifanyia mwenyewee, sasa naanzaje kuagq?? Baba tamu atapewa taarifa tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman tutafute pesa, ndo raha ya kujitegemea unakua HURU.