Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

🤣🤣🤣🤣 Aisee eti kusaidiana katika majukumu🤣🤣🤣 kwenye marimba ya mdhungu mnachaoa kirahisi tuu njoo sasa kwenye reality ..utaingia mkenge.
Kuweni wakweli nyie wanawake katika kusaidia majukumu ni zero kabisa.
Yaani mimi binafsi,ninasomesha wanangu,shule za watoto ninatafuta mwenyewe,ninalipa bill zote nk.Yaani Sometimes huwa ninajiambia mimi ni mwanaume kasoro viungo vya jinsia tu.
 
Amejaribu kuonesha Maumivu yake kupitia Kikao, alishaleta dharau nyingi sana kwa Mumewe lakini vyote vimeshindikana.

Wanaume si kuwa na hela tu,Mwaume ukijua principal zako za Uanaume na ukatuliza kichwa mwanamke kama huyo lazima apite kila sehemu kutangaza kama alivyo huyo.

Ajitazame vizuri
 
Wanawake wapumbavu ndo huamini wakishakuwa na pesa au madaraka ndio key ya kuitawala nyumba na mume.
Wakishaanza kulala na kuamka peke yao ndio huanza kuwachukia wenzao walioko kwenye ndoa na wanaopendwa kwa kuwaona ni kama wanaringa.
 
This is inappropriate! Kama mtu kwake kunafukuta hahitaji kuhamasisha na kwa wenzio kuungue!

Young girls hawatakiwi kuambiwa haya, wanatakiwa wafundishwe kuwa na uhuru wa kipato, na pia wajifunze kuwa wake wema kwa waume zao, is that too much to ask?

Lazima tuelewe kuwa kwa kufuata utamaduni ambao si wakwetu, tunajikomoa wenyewe, tunakomoa our own future!

Binafsi nawaza sana, yawezekana kabisa wazazi waliolea watoto wao vyema wanapata shida sana kuwaoza watoto wao kwa vijana ambao hawajui upbringing yao, imagine uoe binti wa huyo mama ambaye kwa bahati ambaya asiwe an independent thinker!

Tatizo makundi
 
Hakikisha mkeo anakutegemea kwa Kila kitu hata chupi ununue wewe bro heshima utaipata.imagine mwanamke amenunua gari lake mda wowote anatimka kusiko julikana hapo huna mke utashuhudia dharau mpk bas.
Tatizo Mwanamke akikutegemea kwa kila kitu na yeye ana kua na penzi la uwongo kisa njaa yake tu, siku shida zake zikiisha ndiyo utamjua tabia yake ya ukweli!!
 
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.

Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.

Ndo akina Christina Shusho hawa, kujifanya utumishi kumbe takataka tupu
 
Yaani mimi binafsi,ninasomesha wanangu,shule za watoto ninatafuta mwenyewe,ninalipa bill zote nk.Yaani Sometimes huwa ninajiambia mimi ni mwanaume kasoro viungo vya jinsia tu.
gabrielle union kwan wade kakukimbia 😃
 
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.

Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.

Ingekuwa mimi huyo mwanamke akirudi tu anakutana na Talaka yake mlangoni

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?

USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
ni mpumbavu tu huyo mwanamke. kwanza mwanamke mwenye mume hawezi kuzungumza maneno kama hayo mbele za watu.

pili hata ukimsikiliza upangiliaji wake wa maneno na sentensi ni wazi kichwani yuko empty mtupu kabisa
 
Back
Top Bottom