Napata faraja kujua kuna wanawake wenye heshima zao asee wachache wasio na akili basi tuwapuuze wasije wakafanya tukaona wote wameharibikaHuyo maza ni mpuuzi, mwanamke kuwa na hela haimpi sababu ya kutomuheshimu mumewe. Kuna wanawake na hela lkn bado wanaheshimu waume zao sijajua kakwama wapi hadi kuongea alichokiongea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dada Mercy Luhanga. Mke wa Nehemia Mchechu. Ngonja nikamnyakie Mchechu nimpe heshima zote na mapenzi kama yote. Hahahhaha.Mbona Mercy atatia akili.Jamani ninatania tu,nimeokoka siwezi iba mme wa mtu.View attachment 2570869
Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?
USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
Lahaulaa..!!!! Kumbe mwenzetu Nehemia ana tabu hivi..!!Huyu dada Mercy Luhanga. Mke wa Nehemia Mchechu. Ngonja nikamnyakie Mchechu nimpe heshima zote na mapenzi kama yote. Hahahhaha.Mbona Mercy atatia akili.Jamani ninatania tu,nimeokoka siwezi iba mme wa mtu.
Kelsea asante sana kwa komenti hii..!!Huyo maza ni mpuuzi, mwanamke kuwa na hela haimpi sababu ya kutomuheshimu mumewe. Kuna wanawake na hela lkn bado wanaheshimu waume zao sijajua kakwama wapi hadi kuongea alichokiongea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mme wake ni Nehemia Mchechu yule Boss wa Hazina kwa sasa. Yule aliyekuwa Boss wa Shirika la Nyumba Tanzania.View attachment 2570869
Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?
USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
Bila kusahau To yeyeShemela Evelyn Salt, Bantu Lady, Mideko, lovely love, Kapeace, binti kiziwi, Dejane, Kalpana, Lanlady, Lovelovie, Numbisa, Mamndenyi etc embu elezeni kama huyu mama yupo sawa au la..!!
Naomba kujua uo Uzi na Mitandao Gani ya kijamii naweza pata hiyo video.Video sina zipo kwenye mitandao. Hata hapa jf kuna uzi una ile video
Nakadori naye aje aseme neno kuhusu post #18Bila kusahau To yeye
Afu ujuwe, kama mwanamke ana uwezo wa kutamka yale kwenye hadhara ile, HIVI HUKO NYUMBANI SI KUNAWAKA MOTO..!!??Mme wake ni Nehemia Mchechu yule Boss wa Hazina kwa sasa. Yule aliyekuwa Boss wa Shirika la Nyumba Tanzania.
Ukipenda kulelew lazima ukubali yoteNimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable
Imagine mke wako anajitapa ivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli apo
Hayupo sawa kuwa na pesa sio sababu ya kutomuheshimu mume wake.Shemela Evelyn Salt, Bantu Lady, Mideko, lovely love, Kapeace, binti kiziwi, Dejane, Kalpana, Lanlady, Lovelovie, Numbisa, Mamndenyi etc embu elezeni kama huyu mama yupo sawa au la..!!