Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Huyo maza ni mpuuzi, mwanamke kuwa na hela haimpi sababu ya kutomuheshimu mumewe. Kuna wanawake na hela lkn bado wanaheshimu waume zao sijajua kakwama wapi hadi kuongea alichokiongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Napata faraja kujua kuna wanawake wenye heshima zao asee wachache wasio na akili basi tuwapuuze wasije wakafanya tukaona wote wameharibika
 
View attachment 2570869
Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?

USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
Huyu dada Mercy Luhanga. Mke wa Nehemia Mchechu. Ngonja nikamnyakie Mchechu nimpe heshima zote na mapenzi kama yote. Hahahhaha.Mbona Mercy atatia akili.Jamani ninatania tu,nimeokoka siwezi iba mme wa mtu.
 
View attachment 2570869
Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?

USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
Mme wake ni Nehemia Mchechu yule Boss wa Hazina kwa sasa. Yule aliyekuwa Boss wa Shirika la Nyumba Tanzania.
 
Mnapaswa kujua huyo mama yupo hapo kumuwakilisha shetani.

Siku hizi hao wamama hawana hofu hata na Mungu, wanakwambia mambo ya kuolewa yamepitwa na wakati kila mtu anaamua mwenyewe aolewe au aoe mwanamme (kula kulala or kiben ten).

Ndoa kwao siyo muhimu, wanaendesha maisha eti kwa sababu wana uwezo kifedha so pesa inaweza kuwapa chochote wakitakacho hata watoto.

Wanakwambia mume/NDOA ilikuwa zamani, sasa hivi maigizo.

Hapo kwenye hiyo event pale mbele angalia kuna mwanamme pale anajichekesha kwa kujilazimisha, hadi anajigeuza kama anafurahi but imemuumiza anajua siyo sawa ila kwa sababu kazungukwa na mashangingi hao hawezi sema kitu sababu atazomewa!.

📌 Teundelee kujifunza tabia ya mwanadamu.
 
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable

Imagine mke wako anajitapa ivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli apo
Ukipenda kulelew lazima ukubali yote
 
Back
Top Bottom