Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Kwani kutongoza unatumia muda mrefu,unajua unapojiexpress hisia zako kwangu,kuna vitu vinaniteka akili lakini kutumia mbinu hizo hahahahaha nacheka kwanza
Wengine mkitongozwa ndio inawarahisishia kukataa ndio maana wandewa wanatumia njia za mkato! Unapigwa miamala ikishakukolea unaitwa Kibla. Kazi inaishia hapo!

Plus, KE wengine wanapenda mtu awe direct ukianza mambo ya "nakukunda chande" anakuona mshamba,zuzu bwege mtozeni...utatangazwa kwa mashoga zake wakichambua mistari yako kila meseji unayotuma. Hii njia mpaka ukubaliwe inachukua mda na unaweza ukakaziwa vile vile ukajikuta umepoteza zawadi, pesa pamoja na mda! Bora direct kama mtu hakukubali atakataa direct.
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Huyo ulikuwa unamzimia tu, mwanaume mpaka kumfuata kwake ulikuwa ushajiandaa kwa kutiwa. Huyo ametimiza matarajio yako tu.
 
Mimi huwa natongoza muda huohuo nikipata namba ya mwanamke ninayemhitaji,majibu yake tu yatanipa direction eidha niendelee au nipotezee,bahati mbaya sasa mwingine anaweza kukupa majibu yasiyoeleweka kwa siku ya kwanza,unampotezea kumbe alikuwa anakukubali kiaina,ile anaanza kuonesha kukuelewa ushamtoa kwenye ramani.Maisha kweli hayana fomula maalumu.
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nimecheka sana,yaani yeye kashajikatia hatimiliki tayari.[emoji23][emoji23]
 
Sisi wengine huwa tunavizia akienda kisimani, kisha tunakata ngwala, alafu tuna gegeda tu.
Na hapo hauwezi kuta Ke anapiga kelele kwamba anabakwa, basi ujue ndio kisha kubali hivyo....tehteehh [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii inaitwa we nidindosage sambi si sako mwenyewe[emoji3] [emoji3] [emoji1] iringa moja iyoo
 
Haya yote mnayataka kwababu ya usumbufu wenu wa kutokuwa straight na kile mnachohitaji kwenye mahusiano.

Wanaume ni viumbe very straight ukiwa na upo straight. Tatizo maigizo yenu. Mtu huna bikra unaanza kuleta mapozi ya bikra wakati umeshatazama na nyuchi zaidi ya kumi za wanaume yofauti waliokupitia.

Mtu akija honest na wewe unaanza mletea mbwembwe as if huyo mtu hastahili kuwa na wewe.

Kama hivi vituko vinawakera kaeni mkijua ni matokeo ya namba mnawachukulia wanaume na kuwatreat hadi wanashindwa namna ipi sahihi ya kubehave......
 
Tatizo mkishatongozwa bila mbwembwe hizo mnaanza kulinga mara ooh mimi na mtu wangu mara sijui subir nijifikirie
Ndiyo mkuu, Yani ni sawa na kwenda kuomba kazi ofisi isiyo itaji ata wale wa kujitolea, so we unacho amua kufanya ni kwenda kila siku kwenye iyo ofisi na kuamza kusifia iyo ofisi
 
Umesahau pale mnapotoa taarifa za kuumwa ili muulizwe umeenda hospitali unajibu hapana sina hela wangu.

Yaan hapo inatafutwa hela kwa kusingizia kuumwa, sasa jiulize umetongozwa lini mpaka uanze kuomba hela?
 
Muda mwingine utoe msaada namna ya wanawake wengi wanavyopenda tongozo liweje?
Mm sipend kutongoza mwanamke afu aniyumbishe sana, akija kukubali siwez kudumu nae.
Akikupiga kalenda sana anakuwa kaji disqualify sio!
 
Kuna mdada alikujaga saloon ya kiume,

Alimleta mtoto kunyoa, so wakati yule mtoto ananyoa mi nikawa naongea na uyo mdada

Hata sikumbuki nilimwambia nn muda huo nikamshika mkono nikaenda kujipigia na at sent sikumpa[emoji3]
 
Hahah Chalii umenichekesha kinoma!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ajiongeze sio!
 
Alaaa...!!!
Tuongeze na nyingine!?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi nilitumia mbinu ya kumteka tu huyu bibie wangu.Alitekwa kama leo baada ya juma moja akalipiwa mahari na faini,mchezo ukaisha.Mambo gani ya kutumia muda mwingi kusimamisha minazi kutongoza au kutumia m-pesa nyiiingii?Upotezaji wa rasilimali kauli na fedha tu.
 
Hahah huyo alikuwa zaidi ya kiboko, yani mwanamke unaanza kumbato tu baada ya kumshika. Huyo mtu anakujua vyema kweli au ndio beki 3 wenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…