Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Najua umevutiwa na kifua na hilo body la fuso..... ila nikitokea mimi hapa na body langu la Passo na vihela vyangu utanifata......
Umeshasema helaaa

Napenda hela sio kukupenda wewe

Pemben anakuwepo msweety wangu ninaye mpenda
 
Hahaaa na wakikukamata lazima wakukekete[emoji38]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Napita kwa mwendo wa kihandasiii

Ngoja nile.mirungii nisije sinzia bure kwa kusoma comment zako zinanipa
Ushawishin wa kulala
 
Unakoelekea utaweka picha yangu humu.
Usjali nipo vizur picha yako nimeweka wallpaper kwenye sm yangu nakuangalia tu na kengeza lako kama miguu ya kunguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…