Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Arusha nilionaga mtu kama wa kuchonga vile nikabaki nautukuza uumbaji wa Mungu nikasema A meen!nikapita hivi.....
 
Hizo zote niaje niaje ndo zinachanganya watu tu ili kipindi kikipita aaaah [emoji21][emoji21][emoji21][emoji57][emoji57][emoji57]

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mdogo wangu Demiss hiyo rangi ya mdomo nimeipenda jamaani. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Ukija huku uniambie nikuandalie ya kwako au nitakutumia kwa basi zawadi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…