Harder1
Member
- Feb 20, 2018
- 19
- 6
Matamanio binafsiKuna nn hapo upupu au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matamanio binafsiKuna nn hapo upupu au
Mwamaume mashine, pesa,au sura?maana hamueleweki mnataka nn.Acha kabisaaa
Kwenye sifa alizoweka Demiss kwangu inaongezeka dimpoz..
Yaaan dimpoz ugonjwa wangu kabisa
Uko Dom?Njoo unyweee
Alisema wanamkimbiaJibu gani
Hizo zote niaje niaje ndo zinachanganya watu tu ili kipindi kikipita aaaah [emoji21][emoji21][emoji21][emoji57][emoji57][emoji57]Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.
![]()
Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.
Nyongeza:
Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.
Demiss(cha mdeko)
Hahaa!porno zitakuuwa we mwanamke
Mdogo wangu Demiss hiyo rangi ya mdomo nimeipenda jamaani. [emoji85] [emoji85] [emoji85]Hahahahh unaweza gongwa na gar
Sawa mdogo wangu usijali kabisaaa ila mie napenda zile kavu.Ukija huku uniambie nikuandalie ya kwako au nitakutumia kwa basi zawadi yako