Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

wewe mwenyew una chura? K kavu au kama bawa la mtera ? tait au kma lambo
Wewe unaonajee sio kwa povu hili

Naona comment yako inanuka ushuziii
 
Hahahaha, bf wake atakua zaidi ya hao ,na atakua vzr ktk financial ,ili Ku maintain muonekano
Mwanaume ukiwa mbaya uwe na tuhela

Unakuta mwanaume mbaya hela hana alafu anawivu kama nn

Aku mm sitak
 
Hahahaa. Na kweli aisee. Hizo sura nzuri watuachie sie Ke.

Sababu mwisho wa siku mkikaa hakuna tofauti kati ya Baba na Mama sababu wote nyuso zina poda kama nyusi wote mmetinda. Khaaaa. Ndio nini sasa.
Hahahaaaa watoto wanajikuta wanavurugwa hawajui nani Dady nani Mommy.... Hehehee
 
Kweli wanawake wengine vipofu..!!
Sasa huyu kati ya wanaume wazuri naye yupo..???

Hivi unatoka kijiji gani wewe Demiss..??? Ngoja nimshirikishe Mange ndio atakupa majibu mubashara.
Mkuu mbn umeumia sana ndugu yangu kuna tatizo jaman mm nimetoka kijiji cha Nyakahanga karagweee huko
 
Wewe mbona ni mwanamke ila una sura mbaya ila tunavumilia tu? Wanaume tunaona mengi mbona
Kama nyie mnavyosifiaga vizur

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…