mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Hahaaa hapo sawa sasa, teh![HASHTAG]#dimpozi[/HASHTAG]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa hapo sawa sasa, teh![HASHTAG]#dimpozi[/HASHTAG]
Huna lolote nilichogudua we ni marayaKuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.
![]()
Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.
Nyongeza:
Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.
Demiss(cha mdeko)
Hakuna utan hapa ukija usisahau kunishtua kwa kweli maana huku ni magumashi tu
![]()
EwaaaaaKama Mimi GENTAMYCINE.
Ahahh ulijua natania demiss bado damu inachemka acha awapende tu wanaume wazuriHahaaa wee kweli, mwanzo nilijua utani
Yaan hata sijui jamanKwa nini hupendi wazuri?
Jamani na michel scofield wa prison break nae eti shogaa. BaaaUnaweza kuta ni gay. Hamna kitu kinaniuma kama yule Millan Christopher kuwa gay. Mzuri yule mkaka. Mtamuu. Angekua bongo ningemtafuta nimle.
Matumizi mabaya ya rasirimali watu.Jamani na michel scofield wa prison break nae eti shogaa. Baaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee naona unafukua makaburHaya ntakustua. Ila usije na FisadiKuu teh teh teh.
Maana alisema atampiga makofi Julius Magembe teh teh
Uje peke yako tu.
Sawa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee naona unafukua makabur
Wala nitakuja mwenyewe tu fisad yupo dar itabid wewe uje dom aiseee
Najua wewe lazima una kampany na mahandsome utanigawia mmoja
Na mm nianze kuitwa mrs Us baby