Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.

d5aa344880d41810f9db16b87598e517.jpg


Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.

Nyongeza:

Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.

Demiss(cha mdeko)
Huna lolote nilichogudua we ni maraya
 
Huna lolote nilichogudua we ni maraya
Haya kanianzishie uzi basi ili nipate watejaaaa
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
Hiyo comment yako wataona wachache

[emoji377][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Huna lolote nilichogudua we ni maraya
Haya kanianzishie uzi basi ili nipate watejaaaa
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
Hiyo comment yako wataona wachache

[emoji377][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Unaweza kuta ni gay. Hamna kitu kinaniuma kama yule Millan Christopher kuwa gay. Mzuri yule mkaka. Mtamuu. Angekua bongo ningemtafuta nimle.
 
Demiss umenichekesha eti sura mbaya kama mchawi karaba wanangu wanaipendajee. Baaa mihanyenyee
 
Kama G wangu natamani hata nimle ,nimfiche hata mtu asimsalimie,we mwanaume wewe ukicheka sasa mimi hoii
Aiseee ulikuwa wapi uje kunisaidia

Nimepata tabu kuwaelewesha hawa watuu

Mwanaume mzur unataman yan umle tu kama chakula
 
Unaweza kuta ni gay. Hamna kitu kinaniuma kama yule Millan Christopher kuwa gay. Mzuri yule mkaka. Mtamuu. Angekua bongo ningemtafuta nimle.
Inaumaaa sana mtu unayempenda umle kama chipsy kuku anakuwa gay
 
Unaweza kuta ni gay. Hamna kitu kinaniuma kama yule Millan Christopher kuwa gay. Mzuri yule mkaka. Mtamuu. Angekua bongo ningemtafuta nimle.
Jamani na michel scofield wa prison break nae eti shogaa. Baaa
 
Haya ntakustua. Ila usije na FisadiKuu teh teh teh.

Maana alisema atampiga makofi Julius Magembe teh teh

Uje peke yako tu.

Sawa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee naona unafukua makabur

Wala nitakuja mwenyewe tu fisad yupo dar itabid wewe uje dom aiseee

Najua wewe lazima una kampany na mahandsome utanigawia mmoja

Na mm nianze kuitwa mrs Us baby
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee naona unafukua makabur

Wala nitakuja mwenyewe tu fisad yupo dar itabid wewe uje dom aiseee

Najua wewe lazima una kampany na mahandsome utanigawia mmoja

Na mm nianze kuitwa mrs Us baby

Na wewe ntakuchukua nikupeleke US hahahahahahaaa.
 
Back
Top Bottom