Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.

d5aa344880d41810f9db16b87598e517.jpg


Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.

Nyongeza:

Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.

Demiss(cha mdeko)
Mhhh jamaniii sasa sura zetu tuziweke wapiii
 
Wanaume wa hivyo wanaringaga kuliko wanawake. Halafu wachoyo bala.

Sema wengi wanakuwaga wasafi Sana, hicho tu ndo nnachowapendea
Wakati mwingine sio wanaringa bali ni strategy ya kujitenga na wadada maana sio hao tu ila hata wanaume wengine huwa inatokea mtu anashobokewa na wadada wengi kiasi kwamba kuepuka shari anajikuta anakuwa anapunguza mazoea (na wadada wengi wanaamini mwanaume always ni mtu dhaifu kwa wadada kama atachekewachewa na kusogelewa ataonyesha ushirikiano kumbe kuna ambao wapo tofauti na akifanya hivyo ataonekana anaringa)
 
Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.

d5aa344880d41810f9db16b87598e517.jpg


Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.

Nyongeza:

Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.

Demiss(cha mdeko)

Miili ya kutengeneza Gym. Lakini wengi wa hawa ma-model ni mashoga. Hawana lolote.
 
Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.

d5aa344880d41810f9db16b87598e517.jpg


Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.

Nyongeza:

Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.

Demiss(cha mdeko)

Miili ya kutengeneza Gym. Lakini wengi wa hawa ma-model ni mashoga. Hawana lolote.
 
Hiyo picha hapo kitandani alikua anamsubiri nani hasa? ....maana formula inasema anapanda mwanamke kitandan then anafata mwanaume!!!!!................ BWABWA HUYO...
 
Hiyo picha hapo kitandani alikua anamsubiri nani hasa? ....maana formula inasema anapanda mwanamke kitandan then anafata mwanaume!!!!!................ BWABWA HUYO...
Duh mkuu umeng'amua vilivyo

Umeona mbali mno,
Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom