Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Naona umeamua kuja kunisema live bila chenga.[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe limetoka msibaniLimeshakufa jitu
Jiwe limerushwa gizani
Huku boflo la mkate huku chupa ya nyagi"Akinipenda mama inatosha, akinipenda mama inatosha" [emoji445][emoji445][emoji449][emoji447][emoji1623]
Konokono[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na bado tutawaonyesha kila rangi mwaka huu zamani mlituita mbwa sahivi mtashindwa hata kutukategorize..[emoji23]
🙄 MwenyeweKonokono[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji482]Zaa mwanaume wako umpende, achana na watoto wa watu!
[emoji444][emoji445]Aaakinipenda mama inatosha[emoji481][emoji506]
Cc makaveli10
Bila shaka n mumeo umeamua kumsema
Mbona wakat anakuhonga miambili miambil zake ulipokea leo hana umeona umlete huku
Mwanaume mwingine Yupo msiban ukwen Hana hata Mia anasubiri adandie roli la mnadan kurud kwao
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Everything is relative or rather it dependsKuna mwanadada/mwanamama kafa kaoza kwa sifa za mwanaume uliyemtaja hapa
Usichokijua ni kwamba wakati mwingine upendo wa kweli huwa haulezeki/hauna sababu
Sasa kama anajiingiza kwa vijana wa uswazi unadhani atakuwa na furaha? Wanamsugua usiku kucha asubuhi wanamtoa mswakiWewe binti kila mara ni malalamiko tu juu ya wanaume. Ina maana wewe huwa unateswa na mapenzi kila siku?
wakati ulifanya maamuzi yako ya kumpa mbususu, na kumtanulia miguu mpaka mwisho wa kona za kitanda kwa utamu wa mkuyenge alokupatia, hukutushirikisha humu.Unakuta mwanaume hana pesa, kisirani saa zote amekunja sura, hawezi kuongea pole pole mda wote anaongea kama anapauka, sio handsome na hajui kuvaa. Mwanaume hana ata sifa moja ya kumfanya apendwe, yupo yupo tu.
Nyie wanaume mkiwa hamna pesa jitahidini kua vizuri sehem nyingine. Kua mchangamfu kwa kila mtu, kua mpole, kua msafi na ikiwezekana kua kama zoba kabisa ili upate angalau credits za kupendwa... ✍️
Ndiomana mimi nabutua mbele na nyuma tukiachana hata unisemeje ndio imetoka hivo niponipo sana ndani ya notocord muwasho utakulazimisha Baharia bado nipo sana. Va Fankulo we kisodoufufu. Kandhahari is a mustUnakuta mwanaume hana pesa, kisirani saa zote amekunja sura, hawezi kuongea pole pole mda wote anaongea kama anapauka, sio handsome na hajui kuvaa. Mwanaume hana ata sifa moja ya kumfanya apendwe, yupo yupo tu.
Nyie wanaume mkiwa hamna pesa jitahidini kua vizuri sehem nyingine. Kua mchangamfu kwa kila mtu, kua mpole, kua msafi na ikiwezekana kua kama zoba kabisa ili upate angalau credits za kupendwa... ✍️
Mapenzi ni upofu,ukiona mapungufu yote hayo kwa mwenza wako, ujuwe bado hujampenda, ndiyo maana hata akijamba kwa bahati tu utaona ushuzi wake unanuka Mavi yana subiri! Lakini ukimpenda Mtu,mbona huo ushuzi wake waweza hata jifunika nao ndani ya shuka lako!! Jitathimini kwanza,labda wwe ndiyo mwenye tatizo!!Unakuta mwanaume hana pesa, kisirani saa zote amekunja sura, hawezi kuongea pole pole mda wote anaongea kama anapauka, sio handsome na hajui kuvaa. Mwanaume hana ata sifa moja ya kumfanya apendwe, yupo yupo tu.
Nyie wanaume mkiwa hamna pesa jitahidini kua vizuri sehem nyingine. Kua mchangamfu kwa kila mtu, kua mpole, kua msafi na ikiwezekana kua kama zoba kabisa ili upate angalau credits za kupendwa... [emoji3578]
duh!!!! pole zake, dada wa watu kashaliwa kimasihara kwa danganya toto ya ndoa.Mtoa mada ana stress,
kapigwa kitu kizito tayar huko.
Alijinadi Sana humu jf,
Pale Alipoahidiwa ndoa ni mwezi wa 7 mwaka huu, afu jamaa kala mbususu kaingia mitini.
Na kibaya zaidi,
Matangazo yalikua kila kona na michango ya watu keshakula tayar,
Chakusikitisha anakuja humu kututolea povu wanaume wote. Hili haikubaliki kabisa.
Nashauri,
Tumuhurumie bure uyu, Anastress[emoji26]
Mheshimiwa jaji,
Naomba kielelezo namba D4 kipokelewe na mahakama. Nawasilisha[emoji120]View attachment 2147273
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumuombee mola amtie Nguvu ktk kipind hiki kigumu anachopitia.duh!!!! pole zake, dada wa watu kashaliwa kimasihara kwa danganya toto ya ndoa.