Kuna wasanii hawajawahi kuimba nyimbo mbaya

Kuna wasanii hawajawahi kuimba nyimbo mbaya

kala Jeremiah
denzel curry
Kendrick lamar
j cole
wu tang clan
21 savage
banzaji
fanuel sedekia
 
Wewe ndiye shabiki wake...mimi simshabikii...,hivyo mi nashangaa unavyomwacha mtu wako
Usikariri kwamba sijui wanishinda nn..
Mm ni shabiki wake ila sio shabiki wa nyimbo zake
 
1.Cally Rhodes.

2.Halsey

3.Alicia Keys

4.Charlie Puth

5.Eminem

6.2Pac

7.Ed Sheeran

8.Marc Antony

9.Bob Marley

10.Michael Jackson

11.Party Next Door

12.Elton John

13.Miley Cyrus

14.Zahara (song destiny).

15.B.I.G Notorious
 
Hi guys..
Kuna wasanii wana bahati sana wao kila nyimbo wakiimba ni hit, au wakiimba inakua nzuri sana.
Mimi wangu ni hawa..
  • Runtown
  • G nako (akishilikishwa)
  • Jux
  • Celine Dion
  • Enrique Iglesias
  • Sia
  • Katy Perry
  • Paul okoye (Rude boy)
  • Kala Jeremiah
  • David Gueter
  • Dj Snake
  • Westlife
  • P Square
  • Lucky Dube
  • Boys in the B (UB40)
  • Mathey
  • Monique Seka
  • Dolly Parton
  • Makoma
  • Kwaya ya St. Yuda thadeus Mbeya
  • Sauti Sol
  • Sean kingston
  • Sean paul
  • Busy signal
  • Roma
  • Nikikumbuka wengine nitakuja kuongeza..
Weka wasanii wako tuone..
Nakazia hapo kwa Dolly Parton na Sauti Sol.
 
Kwenye hii list kuna RUDE BOY na P Square ndo nini sasa
Hi guys..
Kuna wasanii wana bahati sana wao kila nyimbo wakiimba ni hit, au wakiimba inakua nzuri sana.
Mimi wangu ni hawa..
  • Runtown
  • G nako (akishilikishwa)
  • Jux
  • Celine Dion
  • Enrique Iglesias
  • Sia
  • Katy Perry
  • Paul okoye (Rude boy)
  • Kala Jeremiah
  • David Gueter
  • Dj Snake
  • Westlife
  • P Square
  • Lucky Dube
  • Boys in the B (UB40)
  • Mathey
  • Monique Seka
  • Dolly Parton
  • Makoma
  • Kwaya ya St. Yuda thadeus Mbeya
  • Sauti Sol
  • Sean kingston
  • Sean paul
  • Busy signal
  • Roma
  • Nikikumbuka wengine nitakuja kuongeza..
Weka wasanii wako tuone..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungesema kwa mujibu wa mawazo yako ingependeza zaidi, kwa jinsi ulivyoandika ni kama unalazinisha kila mtu awakubali hao wasanii wako
 
una matatizo sio bure, hivi ile nyimbo ya jux ft Vanessa Juu ina uzuri gani mpaka useme jamaa hajawahi kuimba utumbo,

nakusikitikia kwa kweli.. na huo ni mfano tu mbaya zipo nyingi mno..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bulaya001,
Ukose kujisikitikia ww na familia yako unisikitikie mm unayesoma maandishi yangu tu
 
Back
Top Bottom