Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Unao?Na mie nimo ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unao?Na mie nimo ...
Husahihisho❎hasante sana kwa husahihisho
nimeona umeandika upo zanzibar vipiHusahihisho❎
Usahihisho✅
Hasante❎
Asante✅
😄
Kwa Sasa nipo Yemennimeona umeandika upo zanzibar vipi
tunaweza kuonana mwanadada nipo taveta
aha nije pm ???Kwa Sasa nipo Yemen
UKIMWI hupo tuendelee kufuata taratibu zote hili kuepuka hizi zingine huwa naona ni kama porojo
kufanya watu wengine waingie kwenye hii trap kwa kujiaminisha wao hawawezi kupata UKIMWI
Hivi mtu unawekaje avatar ya kishamba hivyo eti ''kidagaa kimemuozea''Chuki binafsi
Huenda wewe ndiye mshamba kuliko watu wote na hujuiHivi mtu unawekaje avatar ya kishamba hivyo eti ''kidagaa kimemuozea''
Alikuwa anatumia dawa??Hii issue ngumu kuelezea ila ukweli nimedate na mwanamke miaka miwili,tumekaa chumba kimoja mwaka mzima situmii kinga kumbe mwathirika tangu 2019,ila sijapata na nimepina mara 3 na sasa wakashauri kutumia PREP ,tunamtoto mwaka mmoja na miezi 3 mzima kabisa
Hii Ni book cover na imeandikwa na MTU mwenye Elimu ambayo kwenye ukoo wenu wote hakuna na hakutakuja kuwa na mtu atakayeweza kufikia kiwango chake Cha elimuHivi mtu unawekaje avatar ya kishamba hivyo eti ''kidagaa kimemuozea''
Wewe ndio wakiStory za kiwaki
Hivi ukoo wetu unaujua?Hii Ni book cover na imeandikwa na MTU mwenye Elimu ambayo kwenye ukoo wenu wote hakuna na hakutakuja kuwa na mtu atakayeweza kufikia kiwango chake Cha elimu
Kwakuwa wewe nifala hata wao Ni hivyo hivyo hakuna la zaidiHivi ukoo wetu unaujua?
Au unaandika tu kwa kuwa uko Dare salama umeshiba ugali dagaa?
Naomba mheshimu taaluma.Kwakuwa wewe nifala hata wao Ni hivyo hivyo hakuna la zaidi
Kinyesi kweli weweNaomba mheshimu taaluma.
Wewe hutakiwi kuleta mada za kitaaluma. Wewe unatakiwa kuleta habari za akina Mwajuma ndala ndefu kafumaniwa na shoga yake. Ndio unachoweza.
Eti unaleta mada kuhusu VVU na kinga ya mwili, unajua nini kuhusu kinga ya mwili wewe?
Hebu vaa dela nenda kacheze vigodoro. Kengepori wewe.
Blarinyoko mavi ya kuku!
Group la damu halihusiki mkuuWengi niliwa*mba peku wamekufa na ngoma lakin kila nikipima sina ngoma leo miaka 15. Nina group oRH+ na mke wangu na mtoto wangu hivohivo
Ndiyo alikuwa anatumia dawa tangu 2019 mimi nimeanza mahusiano nae 2022 wa naneAlikuwa anatumia dawa??
Dume hilo kua makinimshanga Nitafute