Kuna watu ambao hawapati maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU)

Kuna watu ambao hawapati maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU)

Nimeeleza vizuri tu niwatu wachache Sana ambao hawapati maambukizi Sasa wewe jichanganye
UKIMWI hupo tuendelee kufuata taratibu zote hili kuepuka hizi zingine huwa naona ni kama porojo

kufanya watu wengine waingie kwenye hii trap kwa kujiaminisha wao hawawezi kupata UKIMWI
 
Hii issue ngumu kuelezea ila ukweli nimedate na mwanamke miaka miwili,tumekaa chumba kimoja mwaka mzima situmii kinga kumbe mwathirika tangu 2019,ila sijapata na nimepina mara 3 na sasa wakashauri kutumia PREP ,tunamtoto mwaka mmoja na miezi 3 mzima kabisa
Alikuwa anatumia dawa??
 
Wengi niliwa*mba peku wamekufa na ngoma lakin kila nikipima sina ngoma leo miaka 15. Nina group oRH+ na mke wangu na mtoto wangu hivohivo
 
Kwakuwa wewe nifala hata wao Ni hivyo hivyo hakuna la zaidi
Naomba mheshimu taaluma.

Wewe hutakiwi kuleta mada za kitaaluma. Wewe unatakiwa kuleta habari za akina Mwajuma ndala ndefu kafumaniwa na shoga yake. Ndio unachoweza.

Eti unaleta mada kuhusu VVU na kinga ya mwili, unajua nini kuhusu kinga ya mwili wewe?

Hebu vaa dela nenda kacheze vigodoro. Kengepori wewe.

Blarinyoko mavi ya kuku!
 
Naomba mheshimu taaluma.

Wewe hutakiwi kuleta mada za kitaaluma. Wewe unatakiwa kuleta habari za akina Mwajuma ndala ndefu kafumaniwa na shoga yake. Ndio unachoweza.

Eti unaleta mada kuhusu VVU na kinga ya mwili, unajua nini kuhusu kinga ya mwili wewe?

Hebu vaa dela nenda kacheze vigodoro. Kengepori wewe.

Blarinyoko mavi ya kuku!
Kinyesi kweli wewe
 
Back
Top Bottom