Wewe six flying dragon kwangu ndo series bora kabisa ya kikorea,ndani yake unapata hayaHaija izidi jumong
Hapana 🤣Me kwangu ni The Squad game....
Yule babu katia nuksi ana kesi ya unyanyasaji wa kingono 😂😂😂Sana na zaidi ya sana.... hivi nyingine itatoka lini???
🤣🤣🤣🤣Yan me naipenda kwa sababu na mm napenda mseleko kama yule kaka (Betting)
Tafuta series inaitwa Sambong , Jeong Do jeonWewe six flying dragon kwangu ndo series bora kabisa ya kikorea,ndani yake unapata haya
Siasa
Mapenzi
Muundo wa majeshi na ulinzi
Usaliti
Mikakati ya kuanzisha na kusimamisha dola
Nafasi ya watu katili katika ujenzi wa ulimwengu
Action bora kabisa
🤣🤣🤣🤣Yule babu katia nuksi ana kesi ya unyanyasaji wa kingono 😂😂😂
Jeong de jeon ni mshiriki kwenye tree with deep roots au hiden rootsTafuta series inaitwa Sambong , Jeong Do jeon
Shida sio lugha, tunapita huko kwenye PB na tunazipa heshima yakeKwa wabongo Korean movies zimewateka akili sana lakini nafikiri ni sababu ya lugha ya malikia ila Nina watu kadhaa nafahamiana nao kutoka mataifa ambayo wanazungumza kimombo wanasema series ya 24 na prison break, ndio the best series ever .Nafikiri Wabongo kuto kumaster lugha ya malikia ipasavyo imetufanya kupenda Korean series sana kuliko series za western .ndio maana walio wengi wapo very limited juu ya maswala haya ya series more especially intelligence series wengi wanapenda movies za mapanga na mishale sababu hata kwa kuangalia action tu unajua mini kinamaanishwa.
Hata sijajua badoSana na zaidi ya sana.... hivi nyingine itatoka lini???
Mwamba kazaa watoto watatu mapacha wasiofanana...Kuna Jumong na A man called god zote ni korean, mtaalamu akiwa Song il gook, a.k.a Jumong
Jamani tuacheni maskhara, kwa upande wangu, movie/series zitakuja na kuondoka, hizi mbili ni mwisho
pongezi kwa wote waliofanikisha hizi series (directors, actors, etc), wamefanya kazi kubwa sana
kwa ambao washawahi ziona hizi series watakubaliana na mimi
🙌🙌🙌Shida sio lugha, tunapita huko kwenye PB na tunazipa heshima yake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yule sio kwamba anapenda mseleleko, maisha yalimchapa na dharau zikazidi akaona isiwe kesi. Ndio nikajua hakuna kitu inamuuma mwanaume kama kusaidiwa majukumu na mwanaume mwenzie[emoji1787]Yan me naipenda kwa sababu na mm napenda mseleko kama yule kaka (Betting)
Hii amekaa yeye kama yeye ameandikiwa story kuhusu struggle zake za kupambana kwenye siasa na akina Lee Inim. Na kipindi alichopigwa exile na kutolewa kwenye cheo cha kiserikali, hapa Yi Songye hayupo ila yupo rafiki yake Master Pong.Jeong de jeon ni mshiriki kwenye tree with deep roots au hiden roots
Ndio yeye, walizingua hapo tu...nahisi itakuwa iliwachanganya watuMwamba kazaa watoto watatu mapacha wasiofanana...
Hivi ile movie ya King Daemusin, mjukuu wa Jumong si yeye mwenyewe?
YO Mr white... ..Lets cookBreaking Bad ndio season bora ulimwenguni so far.
🤣🤣🤣hakuna kitu inamuuma mwanaume kama kusaidiwa majukumu na mwanaume mwenzie
Hapa hamna kitu mkuu, squid game ina utoto utoto 🤣🤣Kuna inayomfikia squid games mpaka sasa
Ilipeperuka na upepo kama La Casa De PapelKuna inayomfikia squid games mpaka sasa