Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

Dah,

Umenikumbusha aisee.

Kwenye jumong bana umenikumbusha Prince Taesso na na Prince Youngpo. Jamaa walikua hawampendi Jumong wakamfanyia kila aina ya vitimbi vya kutosha tu ila mwishoni aliwadhibiti.

Wapi chawa wa Jumong Oi, Mari na Hyoppo. Vibaka wa mtaani waliokuja kugeuka kua mawaziri kwe serikali ya Jumong.

Na mwisho ni swahiba wangu na rafiki yangu wa damu kabisa Cha Pombe Mo Palmo, mtaalam wa kutengeneza Silaha. Huyu loyalty yake kwa Jumong ni undoubted.

Hii series pamoja na kua na episodes za kutosha lakini niliiangalia kwa kuirudia zaidi ya mara tatu. Mwanzoni nilikubali mateso ya ITV niwe nakaa macho mpaka saa tano za usiku ilivyotoka.

Ila baadae alosto yake ilivyozidi nikaja kuzikuta zinauzwa kariakoo unanunua DVD moja ina episodes kama 10 hivi nikairudia.
Mkuu, hii series sio poa
Mi zipo kwenye PC, ni kuangalia tu muda wote 🙌🙌
 
Wakorea na waasia kiujumla siwakubali kabisa, napendelea vitu kama Terminal List, mambo ya Navy Seals na Black Ops. Aisee hapo hunitoi kabisa.
 
Mimi za mafarasi mapanga na mishale ndio za kwangu hizo. Hizi za watu wamekaa kwenye macomputer kama nikita nilikuwa nazipenda enzi za ujana wangu chuo. Baada tu ya kutazama spartacus basi nikahamia jumla kwenye mapanga GOT ndio ikanimaliza zaidi
Kama ndivyo itafute Athdal Chronicles (Igutu)

Utakuja kunishukuru.
 
Back
Top Bottom