Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

Kuna huyu mzee, kwa anavyoigiza scenes za uwaziri, muda mwingine uwaziri mkuu unaona kabisa anaenda extra miles kuonesha uwezo wake!
images (2).jpeg
 
Aisew nimefika episode 5 nimeipenda sema muda sasa ndio sina. Yaani mchoko hata episode moja namaliza kwa mbinde.

[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa si nlikwambia hiyo series kali ukabisha
 
Back
Top Bottom