Kuna watu hufa mara mbili


Ungejua sato toka mwanza wanasafirishwaje...!!!
 
Yapo ndio maana waliokamatwa waliochukuliwa hatua kwa kutoa mlungula

Aisee watu wengi watakua wamedhurika bila kujijua mana hao samaki waliokaa mda wanapotezaga ladha kabisa.
Mojawapo ya madhara yake kwa afya ni ka yapi?
 
Aisee watu wengi watakua wamedhurika bila kujijua mana hao samaki waliokaa mda wanapotezaga ladha kabisa.
Mojawapo ya madhara yake kwa afya ni ka yapi?

Cancer ya koo nafikiri na mfumo wa hewa ngoja wataalam wapite hapa
 
Haya najua JF ina members wengi na wa sekta mbalimbali, haya naamini hatuwezi kukosa wahudumu wa mortuary, hebu fungukeni kama ni kweli.
 
Unaweza kunitumia hiyo clips ili na mimi niamini kabisa
 

Mmmh shemeji nashukuru Mungu umenitag mchana maana mie thread zako huwa zinanipa hofu kufungua kwakweli.

Kumbe ndio maana wahudumu wa mochwari huwa wanakuwa kama wamerukwa na akili!! Sasa naanza kuelewa nature ya hizi thread zako, zimekaa kufa kufaaaaaa kumbe muda wote uko na wafu!
 
Last edited by a moderator:
sumbai asijue hili tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…