Kuna watu kwenye system wanatumia nguvu sana kumchafua Rais Samia, Mtafeli Samia ni chaguo la Mungu

Kuna watu kwenye system wanatumia nguvu sana kumchafua Rais Samia, Mtafeli Samia ni chaguo la Mungu

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,

Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,

ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,

huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasa hivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH

Mtakwama tu washenzi nyie,

Na ameshahakikishiwa ulinzi na papaa mukulu Generali CDF Mabeyo mkajinyonge sasa

Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana

Ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue

over Roja
 
Mkuu mwacheni JPM apumzike kwa amani,si kila kitu mumuandamanishe nacho,lakini JPM aliwahi kusema,binadamu mwenye husda hata ukiwa unaoga maji yeye atasema unamtimlia vumbi,JPM kashajiendea zake,tumwache apumzike .Rais aliyepo naye aendeleze na kurekebisha pale anapohisi mtangulizi wake aliyumba,ni hayo tu
 
Mkuu mwacheni JPM apumzike kwa amani,si kila kitu mumuandamanishe nacho,lakini JPM aliwahi kusema,binadamu mwenye husda hata ukiwa unaoga maji yeye atasema unamtimlia vumbi,JPM kashajiendea zake,tumwache apumzike .Rais aliyepo naye aendeleze na kurekebisha pale anapohisi mtangulizi wake aliyumba,ni hayo tu
Mkuu naona akili zimeanza kukukaa sawa baada ya Jiwe kudondoka, kumbuka siku zote Mungu ni fundi asingekubali Tz itawaliwe na dikteta.
 
Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,

Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,

ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,

huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasaivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH



Mtakwama tu washenzi nyie,


Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana

ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue



over Roja
Hakuna raisi hapo,baada ya miezi mitatu mtarudi hapa na matusi kibao
 
Back
Top Bottom