Kuna watu kwenye system wanatumia nguvu sana kumchafua Rais Samia, Mtafeli Samia ni chaguo la Mungu

Kuna watu kwenye system wanatumia nguvu sana kumchafua Rais Samia, Mtafeli Samia ni chaguo la Mungu

Hakuna raisi hapo,baada ya miezi mitatu mtarudi hapa na matusi kibao
Pole sana kamuone daktari maana nakuona hadi jasho la pumb* linavyokutoka.wewe utakua na undugu na wale waliotumbuliwa. Sasa kwa taarifa yako huyu ndo Rais wetu kipenzi cha Watanzania Rais asiyetumia nguvu na ubabe kuongoza nchi anatumia akili na hekima aliyojaliwa nayo kutoka kwa M/Mungu.
 
Wazandiki wakubwa nyinyi.

Na mubaki kuwa mashujaa wa mitandaoni tu. Mtumike kumchafua rais wetu kwa maslahi yenu.

Tukiwakamata ndio mtajua hili taifa lina mifumo yake na kamwe hatuwezi wachekea wazandiki.

Muacheni Mheshimiwa rais Mama yetu Samia afanye kazi.
Na nilichogundua wamefungua account juzi tu waje kumchafua Rais wetu. Watashindwa kwa jina Yesu. Nimepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka,ng'e na adui muovu Nasambaritisha magenge na madhabahu zote za kishetani kwa jina la Yesu.
 
Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,

Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,

ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,

huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasaivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH



Mtakwama tu washenzi nyie,

na ameshahakikishiwa ulinzi na papaa mukulu Generali CDF Mabeyo mkajinyonge sasa


Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana

ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue



over Roja
Mkuu, umenena vyema..

Hawa wahuni wanaompinga Mh. SSH, ni MATAGA wa lile genge la WASIOJULIKANA.

Washajua Mama hahitaji kazi zao mbaya za utekaji, utesaji, ubambikiziaji kesi feki, nk
 
Nchi ngumu sana hii, hata leo Lipumba akiwa Rais ngonjera zitakuwa hizi tu......
 
Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,

Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,

ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,

huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasaivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH



Mtakwama tu washenzi nyie,

na ameshahakikishiwa ulinzi na papaa mukulu Generali CDF Mabeyo mkajinyonge sasa


Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana

ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue



over Roja
MATAGA,SUKUMA GANG, Wasiojulikana!
 
Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,

Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,

ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,

huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasaivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH



Mtakwama tu washenzi nyie,

na ameshahakikishiwa ulinzi na papaa mukulu Generali CDF Mabeyo mkajinyonge sasa


Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana

ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue



over Roja
1. Mtu yeyote akiwa rais, atasemwq vibaya. This comes with the territory. Huwezi kuwa rais wa watu milioni sitini na kitu halafu usisemwe vibaya.

2. Ni kweli kuna watu wanamsakama Rais mpya kwa chuki binafsi. Jana nimeona mtu mmoja kamsakama Rais kwamba hajui Kiingereza, kwa kutumia tweet ya kwanza aliyotuma. Tweet ina Kiingereza cha kupimwa kwa rula ya Oxford na Columbia School of Journalism. Nikamuuliza, hii tweet ya Kiingereza cha Dr. Henry Kissinger ina makosa gani? Tujadili parts of speech, grammar, spelling etc, labda na mimi nitapata cha kujifunza katuka Kiingereza.

Jamaa alishindwa kuonesha kosa liko wapi.

Kumbe alimsakama rais kwa chuki binafsi.

3. Rais Hassan ni kweli alikuwa sehemu ya utawala uliopita, hivyo hawezi kuepuka lawama kwa mambo yakiyofanyika katika utawala uliopita. Serikali si rais tu, serikali inaongizwa kwa "collective responsibility". Kwa hiyo, wanaotaka kumchambua na kumsema rais ni ruhusa kutumia haki yao ya kikatiba kufanya hivyo, ila, wamchambue na kumkosoa kwa mambo yenye substance, si kwa uzushi na umbea usio kichwa wala miguu.

4.Tukitaka kumkosoa Rais mpya kwa yaliyopita, tukumbuke kitu kimoja.

Timing is everything.

Rais alijua, ukianza kumkosoa Jiwe mapema sana unaweza kuliwa kichwa kama Aboud Jumbe au Nape Nnauye.

Halafu analetwa muimba kwaya ya praise team kuku replace.

Ukichelewa sana unakuwa upande mbaya wa historia Jiwe anapoanguka.

Rais Hassan naona kamu wait out Jiwe mpaka Jiwe kaanguka, sasa Rais mpya anataka kuwahi kujiweka mbali na baadhi ya mambo ya Jiwe watu wajue alikuwa anapelekwapelekwa tu, lakini hakupenda.

Kwa ajili ya political survival yake ilibidi aende na ule muziki.

Kuna methali ya Kiingereza imeimbwa na Bob Marley katika "The Heathen" inasema "He who fights and run away, lives to fight another day".


We gotta pick our battles wisely. Tujue nani kashika mpini, nani kashika makali.

Mama alikuwa kashika makali kwa hiyo hakufurukuta sana. Sasa hivi kashika mpini anasema kwa uhuru.

5. Tukosoe kwa haki. Pia, tumtakie heri , kumshauri vizuri na kumpa nafasi rais mpya. Akishindwa kazi yeye tutaumia wote.
 
1. Mtu yeyote akiwa rais, qtasemwq vibaya. This comes with the territory. Huwezi kuwa rais wa watu milioni sitini na kitu halafu usisemwe vibaya.

2. Ni kweli kuna watu wanamsakama Rais mpya kwa chuki bunafsi. Jana nime9na mtu mmoja kamsakama Rais kwamba hajui Kiingereza, kwa kutumia tweet ya jwanza aliyotuma. Tweet ina Kiingwrwza cha kupimwa kwa rula ya Oxford na Columbia School if Journalism. Nikamuukiza, hii tweet ya Kiingereza cha Dr. Henry Kissinger ina makosa gani? Tujadiki parts if speech, grammar, spelling etc, labda na mimi nitapata chavkujifunza katuka Kiingereza.

Jamaa alishindwa kuonesha kisa liko wapi.

Kumbe alimsakama rais kwa chuki binafsi.

3. Rais Hassan ni kweli alikuwa sehemu ya utawala uliopita, hivyo hawezi kuepuka lawama kwa mambo yakiyofany8ka katika utawala uliopita. Serikali si rais tu, serikali inaingizwa kwa "collectivw responsibility". Kwa hiyo, wanaotaka kumchambua na kumsema rais ni ruhusa kutumia haki yao ya kikatiba kufanya hivyo, ika, wamchambue na kumkisia jwa mambo yenye substance, si kwa uzushi na umbea usio kichwa wala miguu.

4.Tukitaka kumkosoa Rais mpya jwa yaliyopita, tukumbuke kitu kimoja.

Timing is everything.

Raus alijua, ukianza kumkosoa Jiwe mapema sana unaweza kuliwa kichwa kama Aboud Jumbe au Nape Nnauye.

Halafu analetwa muimba kwaya ya praise team kuku replace.

Ukichelewa sana unakuwa upande mbaya wa historia Jiwe anapoanguka.

Rais Hassan naona kamu wait out Jiwe mpaka Jiwe kaanguka, sasa Rais mpya anataka kuwahi kujiweka mbali na baadhi ya mambo ya Jiwe watu wajue alikuwa anapelekwapelekwa tu, lakini hakupenda.

Kwa ajili ya political survival yake ilibidi aende na ule muziki.

Kuna methali ya Kiingereza imeimbwa na Bob Marley katika "The Heathen" inasema "He who fights and run away, lives to fight another day".


We gotta pick our battles wisely. Tujue nani kashika mpini, nani kashika makali.

Mama alikuwa kashika makali kwa hiyo hakufurukuta sana. Sasa hivi kashika mpini anasema kwa uhuru.

5. Tukisoe kwa haki. Pia, tumtakie heri, kumshauri vizuri na kumpa nafasi rais mpya. Akishindwa kazi yeye tutaumia wote.
Wanaomsakama Rais wetu tunao hao!
Walidhulumu sana na wengi wako system
Nasikia sasa hawaelewani.
 
Back
Top Bottom