Kuna watu wameamua kumwambia ukweli Rais Samia

Kuna watu wameamua kumwambia ukweli Rais Samia

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.
enye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondelea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
 
Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta regacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.
Haujui CCM wewe miaka yote hata kipindi cha JPM walikwaruzana makundi ila ulipokaribia uchaguzi wa 2020 kuanzia Nape mpaka Kinana wakarudi kundini. Hizi ni hadaa tu za kila mzunguko wa uchaguzi maana kwa CCM kukamata dola ni ya muhimu kuliko maslahi ya wananchi.

So hapo ni kuunganisha makundi tu kuvuka 2025 ila sio kwamba sijui Jpm ana ushawishi maana awe nao asiwe nao ita affect vipi kura za samia ilihali anaopambana nao yaani ACT na CHADEMA wote ni Anti-JPM? Zaidi ni kwamba Team JPM hawatopiga kura which is an advantage to Samia kuliko upinzani sasa why should she pursue a lost cause?

Pia Msitake kutuaminisha CCM inategemea kura za ushawishi ingekua hivyo hata huyo Jpm asingeengua mgombea wowote wa upinzani 2020!!. Either way Team Jpm wapige wasipige utashangaa Samia kapewa 100% ya kura za 2025 huko Kanda ya ziwa!! Thats CCM.
 
Mhe.Rais angeendelea kushupaza shingo na ajenda za mafisadi na wazee wa 10% angekosa kura za Watanzania wanaopenda maendeleo ya Watu.
1. Kitendo cha kuingia Ikulu na kumbagaza Mtangulizi wake JPM ambaye kwa asili ndiye alituomba kura lilikuwa kosa kubwa.

2. Kuwarudisha kwenye Uteuzi Viongozi wezi na Mawaziri vihiyo akina Nappeo na Janyu nk ilikuwa dharau sana.

3. Teuzi kujaa Majina utadhan orodha ya watu wanaenda Mekha imetia doa.

4. DPW imeleta mpasuko.

5. Malumbano na TEC ni kosa la karne.

6. Kukumbatia Viongozi wastaafu wasio waadilifu ni janga.

7. Mikopo kausha Damu kwa Serikali imekuwa miiiiiingi mno rejea Mzee Job Ndugai.

8. Kushindwa kusimamia miradi mingi ya Kimkakati kama SGR na Stinglers iishe kwa wakati ni doa jeusiii.

Mhe.Rais ashukuriwe amepiga Uturn ameanza kupangua hayo madhaifu 1-8.
Ameanza kwa kurejesha timu ya kazi nashauri aendelee kufuta hizo hoja 1-8 hakika 2025 kazi Itaendelea.
Alunta Contunua.
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua fulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Kwahiyo tuhakikishe viroba tunaanza kuvichoma moto, yaani mnafurahia mateso dhidi ya wenzenu!
 
Acha BANGI mbuzi WA KIJANI
Mwaka wa ngapi mpo madarakani mbwa nyie.
Mmeshindwa kuongoza Nchi😂😂😂😂
Hamna mvuto kwa wananchi wasomi,labda kwa wanavijiji wasiojielewa.
Hamna ubunifu Wala maono,Bali mmekalili ujinga
Shukuruni Vyombo vya usalama,ambayo na wao wamekuwa sehemu ya ujinga wenu.
Ila one day😅😅😅😅😅😅
Mungu atuondolee wingu la ufukala WA fikra WA KIJANI
Kiufupi hamnaga mpya kenge nyie.
Kenge ni kenge tu hata itokee azaliwe ulaya,akiwa na nyie ni ZIRO
🖕🖕🖕
 
Kuna haha gani ya kutumia maneno ya kiingereza usiyo jua maana? Unataka tuamini unayoyasema wakati hata hujui maneno na maana zake? Regacy Ina maana gani?
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta regacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
mijadala hiyo ipo seheme nyingi tunafanyia kazi
 
Kuna haha gani ya kutumia maneno ya kiingereza usiyo jua maana? Unataka tuamini unayoyasema wakati hata hujui maneno na maana zake? Regacy Ina maana gani?
Acha kuhangaika na errors za kibinaadam. Angalia logic iliyo katika content ya madam husika.
 
CCM wanachojali ni maslahi ya CCM na wao wanayofaidika nayo, kama kutakuwa na sababu yeyote yakuwafanya washinde uchaguzi na kuendelea kuwakoloni watanzania basi wataifuata.

Kifupi usitegemee jipya kutoka kwa CCM na watu wake zaidi ya kuendelea kuwafanya watanzania mateka.

Its either CCM itoke au yenyewe itekwe na watu kadhaa watakaoangalia maslahi ya umma wa watanzania.
 
Mpende au mchukie, lakini JPM ame weka standard. Alionesha nini kinawezekana kufanyika tukiweka mazoea pembeni na kuwa serious na nchi yetu. ukifanya chini ya kiwango wananchi wanaona na kulinganisha.
 
.
IMG-20231130-WA0005.jpg
 
Mhe.Rais angeendelea kushupaza shingo na ajenda za mafisadi na wazee wa 10% angekosa kura za Watanzania wanaopenda maendeleo ya Watu.
1. Kitendo cha kuingia Ikulu na kumbagaza Mtangulizi wake JPM ambaye kwa asili ndiye alituomba kura lilikuwa kosa kubwa.

2. Kuwarudisha kwenye Uteuzi Viongozi wezi na Mawaziri vihiyo akina Nappeo na Janyu nk ilikuwa dharau sana.

3. Teuzi kujaa Majina utadhan orodha ya watu wanaenda Mekha imetia doa.

4. DPW imeleta mpasuko.

5. Malumbano na TEC ni kosa la karne.

6. Kukumbatia Viongozi wastaafu wasio waadilifu ni janga.

7. Mikopo kausha Damu kwa Serikali imekuwa miiiiiingi mno rejea Mzee Job Ndugai.

8. Kushindwa kusimamia miradi mingi ya Kimkakati kama SGR na Stinglers iishe kwa wakati ni doa jeusiii.

Mhe.Rais ashukuriwe amepiga Uturn ameanza kupangua hayo madhaifu 1-8.
Ameanza kwa kurejesha timu ya kazi nashauri aendelee kufuta hizo hoja 1-8 hakika 2025 kazi Itaendelea.
Alunta Contunua.
Siyo tu hilo mkuu raisi walimsimanga kwenye voice note na makamu ambaye kwa sasa NI raisi akaja kuwaweka kwenye chama na serikali hiyo ilikuwa nidharau Sana.
 
Haujui CCM wewe miaka yote hata kipindi cha JPM walikwaruzana makundi ila ulipokaribia uchaguzi wa 2020 kuanzia Nape mpaka Kinana wakarudi kundini. Hizi ni hadaa tu za kila mzunguko wa uchaguzi maana kwa CCM kukamata dola ni ya muhimu kuliko maslahi ya wananchi.

So hapo ni kuunganisha makundi tu kuvuka 2025 ila sio kwamba sijui Jpm ana ushawishi maana awe nao asiwe nao ita affect vipi kura za samia ilihali anaopambana nao yaani ACT na CHADEMA wote ni Anti-JPM? Zaidi ni kwamba Team JPM hawatopiga kura which is an advantage to Samia kuliko upinzani sasa why should she pursue a lost cause?

Pia Msitake kutuaminisha CCM inategemea kura za ushawishi ingekua hivyo hata huyo Jpm asingeengua mgombea wowote wa upinzani 2020!!. Either way Team Jpm wapige wasipige utashangaa Samia kapewa 100% ya kura za 2025 huko Kanda ya ziwa!! Thats CCM.
I am not entirely sure if you are from the Lake zone regions, but assuming you have been visiting your homestead and mingling with people in the villages, your observations may not be representative.

As part of my duties inspecting country-wide projects in both urban and remote areas of the country, I have noticed that no leader has yet replaced Magufuli in the hearts of the common people.

The legacy of Magufuli continues to have an impact even in Hai, as confirmed by the locals.

"Dr, tulikuwa tukilipa kodi ndogo lakini tuliona maendeleo, na yeye ndio Rais wa kwanza nchi hii hakuwa na longo longo, akiahidi ni kama katumwa na mungu atatimiza tuu, alikuwa tuu hajui biashara"

Mr. Mushi, a Chadema stalwart in Hai, stated that.

Although those of us with higher incomes may be content with the current state of general administration of the country as it offers us more opportunities to enjoy.

We must be able to speak out about the situation prevailing on the ground.
 
Sema siasa za Tz bana, usife nazo an, Leo hii team JPM wapo bega kwa bega na SSH 😂😂😂 Team Msoga wanachanganyana, kesho kutwa usishangae wanaungana, yan usijiwekeze sana kwenye siasa zetu, ni bora kukaa tako moja tu
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana


Hivi kweli, maongezi ya wachoma mahindi unaleta humu na kuyapa credits to create the false story

Ungesema tu, Mama kaamua kuungana na kundi la JPM story ingetosha, sasa hao wachoma mahindi wanatoka wapi, hiyo chai.
 
Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Tayari sana umekwisha feli.

Hivi watu akili zenu huwa mnazificha wapi?

Sasa wakati huu mkitumiwa kuubeba mzigo na kuuvusha upande wa pili na baada ya hapo mkitupiwa vilago vyenu, kama mlivyokwisha onyeshwa tayari, bado mtakuwa na la kusema hapo?

Hivi nyinyi watu huwa mnao muda wa kufikiri na kuchambua mambo kiufasaha, au mnajiendea tu kama kuku wanaotupiwa mtama wachinjwe, baada ya kukoswakoswa kwa mara ya kwanza?

Inawezekana kabisa hata usielewe nilicho andika hapa. Sitashangaa!
 
Back
Top Bottom