Kuna watu wameamua kumwambia ukweli Rais Samia

Kuna watu wameamua kumwambia ukweli Rais Samia

Waovu walimuondoa muovu mwenzao na wewe unashangilia.

Waovu wanapaswa kuondoka na siyo kuondoana
Hilo la waovu kuondoana silijui, ndio maana Sina popote ninapowashukuru hao waovu, bali nimemshukuru Mungu tu.
 
Pia Msitake kutuaminisha CCM inategemea kura za ushawishi ingekua hivyo hata huyo Jpm asingeengua mgombea wowote wa upinzani 2020!!. Either way Team Jpm wapige wasipige utashangaa Samia kapewa 100% ya kura za 2025 huko Kanda ya ziwa!! Thats CCM.
Sahihi kabisa, Ccm haitegemei kura ili kusalia madarakani.
 
jana nimepeleka mzigo kwa kiongozi mmoja mkubwa tu masaki,nafika pale mida ya saa moja umeme hakuna,mke wa yule kiongozi analalamika kwamba afadhali yule baba umeme ulikua haukatiki.

nikaishia kutikisa kichwa tu.



Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
jana nimepeleka mzigo kwa kiongozi mmoja mkubwa tu masaki,nafika pale mida ya saa moja umeme hakuna,mke wa yule kiongozi analalamika kwamba afadhali yule baba umeme ulikua haukatiki.

nikaishia kutikisa kichwa tu.



Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Hana kumbukumbu vizuri, mgao wa umeme ulianza makali yake July 2020 huyo baba akiwa hai, hadi Sasa tatizo limekuwa sugu zaidi. Ni kweli kabisa kipindi chake mgao haukuwa mkali kama Sasa, lakini ulikuwepo.
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondelea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Sidhani kama umemuelewa mtoa mada.
Huyu anasema anashukuru kwamba Rais Samia ameanza kufuata sera za Magufuli.[Baada ya watu ''wema'' kumshauri]
 
Sidhani kama umemuelewa mtoa mada.
Huyu anasema anashukuru kwamba Rais Samia ameanza kufuata sera za Magufuli.[Baada ya watu ''wema'' kumshauri]
Nimemuelewa kuwa alitaka kuonyesha Magufuli alikuwa kiongozi mzuri, Mimi nimemuonyesha yule alikuwa kiongozi muovu na Wala sio mzuri kama anavyotaka tuamini.
 
Hana kumbukumbu vizuri, mgao wa umeme ulianza makali yake July 2020 huyo baba akiwa hai, hadi Sasa tatizo limekuwa sugu zaidi. Ni kweli kabisa kipindi chake mgao haukuwa mkali kama Sasa, lakini ulikuwepo.
mama sio mnafiki kama ww.

kasema afadhali yule baba angekuwepo.
unaungana na maelezo yake lakini huku roho yako inakataa.


Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Mama Samia anajua anachokifanya ila sukuma gang hamjitambui, political game
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Uzi tiyariii!!
 
Nikimfikiria Samia na wale wa mama wauza Kahawa uwa nachoka sana.
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Hizi takataka mnazitoa wapi?
 
Back
Top Bottom