Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hilo la waovu kuondoana silijui, ndio maana Sina popote ninapowashukuru hao waovu, bali nimemshukuru Mungu tu.Waovu walimuondoa muovu mwenzao na wewe unashangilia.
Waovu wanapaswa kuondoka na siyo kuondoana