Kuna watu wameamua kumwambia ukweli Rais Samia

Kuna watu wameamua kumwambia ukweli Rais Samia

Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Kuhusu nini?
 
Acha uongo vyomba gani vimteua Makonda?
Anajiliwaza tu roho. Hawa ni aina ya watu ambao ni rahisi sana kuchotwa akili na hadaa ndogo ndogo kama anazofanya huyo anayemsifia hapa.
Akilini mwake hana uwezo wa kutafakari chochote na kutaka kujua kwa nini anayo yashuhudia yakifanywa yanafanywa vile.
 
Ulipoanza kuandika Magufuli nikaacha kusoma ulichoandika.
 
Mhe.Rais angeendelea kushupaza shingo na ajenda za mafisadi na wazee wa 10% angekosa kura za Watanzania wanaopenda maendeleo ya Watu.
1. Kitendo cha kuingia Ikulu na kumbagaza Mtangulizi wake JPM ambaye kwa asili ndiye alituomba kura lilikuwa kosa kubwa.

2. Kuwarudisha kwenye Uteuzi Viongozi wezi na Mawaziri vihiyo akina Nappeo na Janyu nk ilikuwa dharau sana.

3. Teuzi kujaa Majina utadhan orodha ya watu wanaenda Mekha imetia doa.

4. DPW imeleta mpasuko.

5. Malumbano na TEC ni kosa la karne.

6. Kukumbatia Viongozi wastaafu wasio waadilifu ni janga.

7. Mikopo kausha Damu kwa Serikali imekuwa miiiiiingi mno rejea Mzee Job Ndugai.

8. Kushindwa kusimamia miradi mingi ya Kimkakati kama SGR na Stinglers iishe kwa wakati ni doa jeusiii.

Mhe.Rais ashukuriwe amepiga Uturn ameanza kupangua hayo madhaifu 1-8.
Ameanza kwa kurejesha timu ya kazi nashauri aendelee kufuta hizo hoja 1-8 hakika 2025 kazi Itaendelea.
Alunta Contunua.
Mzee wa pembe za ndovu naye wamwangalie sana, siyo mzalendo kabisa, Hawa wazee wamedumaza taifa hili kwa kiwango likubwa sana, huu ni muda wa kutubu Ili waende sawa na God badala yake wanaendelea na upigaji bila kujua majeneza yao yako karibu sana!
 
CCM wameua elimu,wanatoa Akira Kwa ubaguzi,wauwaji delete ccm
 
Huo ukweli wanaoambiana unakusaidia nini wewe [emoji1]

Ova
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Na bandari ni magufulification
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana


Wewe na wao are both useless
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Japo amechelewa na it will cost us😭🤐
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Samia akiiga upuuzi wa Magufuli ataanguka vibaya sana!
 
Mhe.Rais angeendelea kushupaza shingo na ajenda za mafisadi na wazee wa 10% angekosa kura za Watanzania wanaopenda maendeleo ya Watu.
1. Kitendo cha kuingia Ikulu na kumbagaza Mtangulizi wake JPM ambaye kwa asili ndiye alituomba kura lilikuwa kosa kubwa.

2. Kuwarudisha kwenye Uteuzi Viongozi wezi na Mawaziri vihiyo akina Nappeo na Janyu nk ilikuwa dharau sana.

3. Teuzi kujaa Majina utadhan orodha ya watu wanaenda Mekha imetia doa.

4. DPW imeleta mpasuko.

5. Malumbano na TEC ni kosa la karne.

6. Kukumbatia Viongozi wastaafu wasio waadilifu ni janga.

7. Mikopo kausha Damu kwa Serikali imekuwa miiiiiingi mno rejea Mzee Job Ndugai.

8. Kushindwa kusimamia miradi mingi ya Kimkakati kama SGR na Stinglers iishe kwa wakati ni doa jeusiii.

Mhe.Rais ashukuriwe amepiga Uturn ameanza kupangua hayo madhaifu 1-8.
Ameanza kwa kurejesha timu ya kazi nashauri aendelee kufuta hizo hoja 1-8 hakika 2025 kazi Itaendelea.
Alunta Contunua.
Wewe ni kiuono aisee ,miradi ya SGR na stigler ilikuwa hoi na kama sio ujio wa mama walai hii miradi ingekuwa imekufa
 
Elezea vizuri Habari yahoo ieleweke ,means ume taja Magufuri,Tiss,Rais,na akina mama
 
Salam kwenu nyote,

Haya mabadiliko na makelele ya wastaafu mnayo yasikia si bure. Tupongeze vyombo vya usalama kwa kuamua kumwambia ukweli kiongozi wa nchi. Na pia tuwapongeze kwa kumfanya aweze kujoamini katika kazi zake na maamuzi bila kuingiliwa.

Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kufanya uzalendo katika majukumu yenu. Naamini Sasa mmepata nafsi wa kusikilizwa au mmeamua kutenda haki kwa Taifa letu.

Wikiendi iliyopita kunasehemu nilikua nimetulia huko uswekeni. Kulikua na akina mama wa kawaida sana. Hawani wamama wale hohehahe ambao waliua wanachoma Mahindi.

Ajabu nikwamba mambo ambayo walikua wanajadili kuhusu siasa za nchi ilinifanya kustaajabu.

Nilipata kusikia wakiijadilia awamu ya Tano mpaka awamu ya sita.

Mjadala wao ulinifanya niamini kuwa Magufuli haikuwa rahisi kuifuta legacy yake.

Magufulification ni dude kuubwa sana. Hili dude sio rahisi kupambana nalo.

Sasa Rais kuamua kuungana kwenye Magufulification sio kosa Bali ni maamuzi sahihi sana.

Hongera sana
Uchawa, ila yuko Chato.
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondelea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Waovu walimuondoa muovu mwenzao na wewe unashangilia.

Waovu wanapaswa kuondoka na siyo kuondoana
 
Back
Top Bottom