Kuna watu wameamua kumwambia ukweli Rais Samia

Kuhusu nini?
 
Acha uongo vyomba gani vimteua Makonda?
Anajiliwaza tu roho. Hawa ni aina ya watu ambao ni rahisi sana kuchotwa akili na hadaa ndogo ndogo kama anazofanya huyo anayemsifia hapa.
Akilini mwake hana uwezo wa kutafakari chochote na kutaka kujua kwa nini anayo yashuhudia yakifanywa yanafanywa vile.
 
Ulipoanza kuandika Magufuli nikaacha kusoma ulichoandika.
 
Mzee wa pembe za ndovu naye wamwangalie sana, siyo mzalendo kabisa, Hawa wazee wamedumaza taifa hili kwa kiwango likubwa sana, huu ni muda wa kutubu Ili waende sawa na God badala yake wanaendelea na upigaji bila kujua majeneza yao yako karibu sana!
 
CCM wameua elimu,wanatoa Akira Kwa ubaguzi,wauwaji delete ccm
 
Huo ukweli wanaoambiana unakusaidia nini wewe [emoji1]

Ova
 
Na bandari ni magufulification
 


Wewe na wao are both useless
 
Japo amechelewa na it will cost us😭🤐
 
Samia akiiga upuuzi wa Magufuli ataanguka vibaya sana!
 
Wewe ni kiuono aisee ,miradi ya SGR na stigler ilikuwa hoi na kama sio ujio wa mama walai hii miradi ingekuwa imekufa
 
Elezea vizuri Habari yahoo ieleweke ,means ume taja Magufuri,Tiss,Rais,na akina mama
 
Uchawa, ila yuko Chato.
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondelea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Waovu walimuondoa muovu mwenzao na wewe unashangilia.

Waovu wanapaswa kuondoka na siyo kuondoana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…